Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Naomba kujua ipi kati ya kozi hizo inalipa na soko lake la ajira lipo aje?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kinachonitisha ni hizo sifa zao eti anatakiwa awe subsidiary mbili za masomo ya sayansi. Hivi kwel nikisoma pale nitakua na soko kwenye ajira. Naomben ushauri wenu.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ka unajua au umesoma tandabui mwanza fanya kunichek,text hata nbp kwa 0687600940 Nkuulze v2
0 Reactions
0 Replies
3K Views
NAatafuta mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi aje Halmashauri ya MOROGORO (v) nami nipate kwenda katika wilaya ya KIBAHA, au wilaya yeyote ya DAR ES SALAAM. Kwa mawasiliano kwa mwenye...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa walimu, nikipata ruhusa ya kwenda kusoma... iwe degree at diploma, ninapo ondoka kituoni naandika barua ya kuondoka? kama ndio nina attach na document gani?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kuuliza eti nikiwa na bachela of science with education naweza kusoma cozi zingine kam computer science katka leval ya bachela. Je kama na diploma ya scince wih education pia naruhusiwa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Computer science vs Business Administration in terms of emploment opportunities na future nzuri. Ahsante
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Wanafunzi St.Joseph wagoma kuingia darasani NA SHAABAN MDOE,ARUSHA ZAIDI ya wanafunzi 350 wa Chuo Kikuu Cha Mtakatifu Joseph, tawi la Arusha, wamegoma kuingia madarasani kwa madai ya...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Je inawezekana kwa mhitimu wa kidato cha nne kuanza ngazi ya cheti mpaka Degree COICT, inakuaje katika kuapply Degree?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Naomba ushauri kuhusu vyuo vya afya, kilimo na mifugo ambavyo ni private na vyenye ada isiyozidi 1.5 Milion matokeo yangu ni division 4 point 26 2012 yenye C pass 2 ya biology and chemistry...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
TAARIFA MUHIMU KWA VIJANA WALIOMALIZA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 "Makamu mkuu wa jesh la kujenga taifa, anapenda kuwatangazia vijana wote waliomaliza kidato cha sita 2014 wale wote waliopangwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi kuna uwezekano kama umemaliza PCM na kupata div 3 ukupata nafasi SUA kwa course za General agriculture au water resources and irrigation engineering ?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Naomba kupewa info zozote kuhusiana na facult ya doctor of dental surgey pale MUHAS. natanguliza shukrani
0 Reactions
18 Replies
8K Views
Nilichelewa kuomba chuo kwasababu yamatatizo. Anaeweza nisaidia nikapata chuo cha kilimo popote pale ila kiwe cha serikari kwa level ya diploma. Anaeweza nisaidie ninaelimu ya kidato cha sita
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba ufafanuzi kwa wale ambao wamepata kuhama kwa kubadilisha vituo vya kazi kwa walim [KWANI KUHAMA HUWEZI KUANZA KUFANYA PROCESS ZA KUHAMA UKIWA HAUNA TSD NO,???] Kwa anayefaham anijuze kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Baada ya MOE kukaa kimya muda mrefu na kufunga #website yao naomba msaada wako wa kunijulisha chuo chochote cha #private kinachotoa mafunzo kabilishi na ualimu wa kawaida yaani cheti daraja la...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
kati ya MNMA na KIU kipi ni afadhari kwa BAED
0 Reactions
0 Replies
889 Views
Wadau napenda kuuliza bodi ya mikopo inatoa mikopo kwa watumishi wanaojiendeleza na elimu ya chuo kikuu?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wanajamii kuna jamaa mmoja amemaliza 2009 na kupata 29 katika masom yake kapat C,D 4 na F ya bio na eng, je anaweza soma chuo gani? naomba msaada wenu
0 Reactions
4 Replies
2K Views
samahanini wanajf natumaini kuna wataalam wa mambo ya electronics humu ndani eti diode ni passive or active device
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…