Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari wanajamvi! Naomba msaada nipate kufahamu chuo cha tra wanatoa lini majina ya waliofanikiwa kupata nafasi ya kusoma Postgraduate na Masters. Coz website yao ni mbovu.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mimi mwalim idara ya sec niko moshi mjini natafuta wa kubadilishana nae morogoro mjini dodoma mjini au dsm 0714462292
0 Reactions
0 Replies
864 Views
eti wadau aliyemaliza diploma ya ualimu wa sekondari anaweza enda soma degree za fani ipi tofauti na ualimu?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Juzi nimeshuhudia unyama ndani ya shule ya msingi MINAZI MIREFU-UKONGA mwanafunzi akiburuzwa na wanafunzi wenzake kwa kuvutwa na kupelekwa darasa la C ni darasa la watu wasio jiweza kabisa kiakiri...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Mimi ni Mwl wa grade A ,nahitaji kujiendeleza kielimu mwaka huu lakini sitaki kupitia kusoma a -level .Kaelimu kangu ni ka 4m 4.Nahitaji kusomea education Sio kwa kuenda kila siku manake bado...
0 Reactions
2 Replies
834 Views
Can anyone share materials management books with me. Please help me have these books as I can not find them anywhere! Thanks in advance
0 Reactions
0 Replies
683 Views
Leo tarehe 13.8.2014 Chuo kikuu cha mtakatifu agustine main campus mwanza imetia fora baada ya kubandika matokeo ya semista ya pili ambayo idadi kubwa ya wanafunzi wamesap somo la basic English ya...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wana forum? Juzi nilikuwa nasafiri kutoka Dodoma kuelekea Singida wakati wa usiku. Nikiwa eneo la Sukamahela, kwa mbali upande wa kushoto nilikuwa naona mwanga mkubwa sana. Mwanzoni...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari wana jf,naitwa abel kikimba ni mkazi wa mafinga wilaya ya mufindi,kiukweli nimejitokeza tena humu kumtafuta mdhamini ambae yupo tayali kunisomesha kwa elimu ya chuo kwan nimehitimu elimu...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wana jf,naitwa abel kikimba ni mkazi wa mafinga wilaya ya mufindi,kiukweli nimejitokeza tena humu kumtafuta mdhamini ambae yupo tayali kunisomesha kwa elimu ya chuo kwan nimehitimu elimu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
COLLEGE OF EDUCATION School of Educational Studies Postgraduate Diploma in Education S/NO Name Sex 1 JAMES, Tumikia Kitalo F 2 MGANI, Ado Romanus M 3 EMANUEL, Zacharia M...
0 Reactions
6 Replies
9K Views
THE UNIVERSITY OF DODOMA STUDENT IDENTITY CARD Name: MUSSA, Seleman reg. NO. T/UDOM/2011/04132 Collage: informatics & Virtual Educati exipiry date; 30/062015 NIMEJARIBU KUPIGA SIMU YA JUU YA...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau wa elimu kupitia jf naomba kuuliza... Kwa mtu alie maliza shahada ya elimu history ikiwa ni somo la kufundishia anaweza kuchukua Masters ya History,Philosophy ama psychology?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba nipate guideline on how to make easily transfer from One university to another. USHAURI WAKO UWE WA AKILI YAKO SITAKI VIROBA.
0 Reactions
0 Replies
853 Views
ELIMU YA HISTORIA: Ni elimu muhimu sana kwetu Bindamu. Hapa nina lengo moja tu, nalo ni elimu ya Historia na umuhimu wake kwa sisi binadamu. Hapa simaanishi kuwa kila mmoja asome somo la...
0 Reactions
5 Replies
5K Views
Naomba msaada kama una namba ya simu ya mkuu wa shule nisaidie, kwa sababu namba yao ya kiofisi napiga hata haipokelewi.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nan ni mtetezi halis wa wanafunzi wa vyuo vikuu wanaodhurumiwa haki zao za msingi ni wiki ya nane wanafunz wapo field hawajapewa pesa zao za kujikimu Tanzania inatengeneza wanafunzi wa aina gan...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilikuwa nahitaji kuapply engineer coz pale dit lakini colum ya possible loan imewekwa 0, kulikoni? Au mkopo ndo hamna
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Cjaelewa mm mpaka sasa kama kweli serikal inawakumbuka wenye divisio 4 mwaka 2014. kama kuna yeyote mwenye tetec anijuz
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Uongozi wa chuo umepandisha ada ikiwa ni tofaut na mchanganuo uliopo kwenye fom yao ya kujiunga na chuo. Naomba kujua utaratbu wa kupanda kwa ada vyuo vikuu.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…