Nimemaliza kidato cha sita mwaka huu, nataka kuaply coz za geology ila sijajua ni ipi yenye ajira nzuri, alafu UDSM nimeona kuna B sc in geology na B sc with geology nashindwa kuzitofautish...
Mi nashangaa hawa jamaa walivyokaa kimya kuhusu nafasi za masomo vyuo vya ualimu, siku wakitoa nafasi hizo mara watu wakalipoti baada ya siku mbili. wengine waliokosa nafasi wanaanza kusota...
Habari zenu waungwana,kuna ndugu yanGu amefanya mitihani ya cambride na kufanikiwa kufaulu kwa matokeo yafuatayo,phyiscs-C,chemistry-B na mathematics-A anataka kusoma chuo hapa hapa...
Tahliso kufanya maandamano ya amani mpaka kwenye ofisi ya waziri mkuu keshokutwa kushinikiza serikali kuwalipa stahili zao wanafunzi wanaofanya fpt kwenye vyuo ambavyo bado havijapata pesa...
Mwanangu anasoma shule ya msingi AIRWING-BANANA-UK.Leo karudishwa nyumbani eti akafate pesa ya mtihani wa MOKO ambayo ni tshs 15,000.
Ndugu zangu si serikali inasema elimu ya msingi ni kwa...
Habari za majukum wana Jf
jaman naomba kujua hili
MTU ASIE NA WAZAZI HUITWA YATIMA JE SWALI NIKWAMBA WAZAZI WALIOFIWA NA WATOTO WANAITWAJE KATIKA LUGHA YA KISWAHILI FASAHA naomba kujua hili jaman
kero ya kusubiria post za ualimu imeonekana kukatisha tamaa sana kwa applicants wengi ila sasa ndo wakati wenyewe,
soma taarifa ya wizara kwenye gazeti la leo la mwananchi au tembelea tovuti ya...
SERIKALI IACHE KUINGIZA SIASA KATIKA SUALA LA ELIMU. NAISHAURI WIZARA YA ELIMU KUONGEZA KIGEZO CHA UFAULU KWA ANAYETAKA KUSOMEA UALIMU.
UALIMU SIO WITO TENA NI KAZI KAMA KAZI NYINGINE AMBAZO...
Habariii wana jamiiiii
Kama kichwa cha habar kilivo hapo juu, kwa anayefaham atufahamishe kama guide book ya2014/2015 imeshatoka tayari ,need for application into degree•••...
Hiki chuo pass marks zake zipo juu sana kulinganisha na vyuo vya serikali maana kwenye soko la ajira wakati mwingine wanaangalia ufaulu mfano kwa saut mtu anaepata chini ya 49 huyo kafeli wakati...
Wadau habari zenu...?Naomba kama kuna yeyote anayefahamu mahali kilipo chuo cha Nursing school at KCMC certificate level anielekeze na kama anazo contact zao anisaidie pia maana kuna ndugu yangu...
Kero katika chuo kikuu cha tumaini kcmc
TASWIRA
Kilimanjaro christian medical college- ni chuo kikuu cha Tiba na huduma afya ya jamii,ikiwa ni moja ya vyuo vilivyopo chini ya vyuo vikuu vya...
nikiangalia mataifa yote yaliyoendelea kama japan, china, uingereza, s.korea, taiwani, hispania na ufaransa wote hutumia lugha zao za asili kujifunzia. ukweli ni kuwa mtu akijifunzia lugha mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.