​Kwa miaka ya hivi karibuni, fani ya ualimu Tanzania imekuwa ikionekana kama chaguo la wakosaji, yaani mtu anakuwa mwalimu baada ya kukosa kazi bora ya kufanya. Lakini kwa siku za nyuma...
Hili li ARIS la chuo kikuu Mzumbe linaboa sana. MaFR wametuma taarifa za kuwekwa kwa matokeo tangu wiki iliyopita lakin mpaka sasa hakuna chochote. Na taarifa ya kua matokeo sio mazuri hasa kwa...
Habari,Wakuu natafuta kampani ya discussion kwa wadau wanaotaka kufanya pepa za CPA kwa level ya Intermediate stage waliopo iringa mjini.Maana nimejitaidi kutafuta review class kwa eneo ili bila...
Habari za mida hii wanajamvi? Je kuna uwezekano wa kuajiriwa kokote kule either kwenye private sector au public sector ukiwa tu na matokeo ya miaka yako miwili uliosoma chuo.
Yaani kuna mwenzetu...
HABARI kama unae ndugu alie maliza form4 kuanzia 2009-2013 alie soma masomo ya sayansi (direct entery) ambae alipata Division 1,2 au 3 na angalau "C" moja kwenye masomo ya combination na "D"...
Dear Applicant, Ref: Call for Training Registration and Participation Confirmation Stage
On behalf of our organization, I am obliged to inform you that after desk review of your cv and application...
Mheshimiwa alitangaza shule mbili kwa ajili ya wanafunzi wa masomo ya sayansi na hisabati ili kuzalisha wanafunzi watakao jiunga na vyuo vikuu kusomea maswala ya gesi na mafuta, shule hizo ni zipi...
Habari wadau, mi ni mwalimu wa msingi wilaya ya kilwa, naomba anayeweza kunifanyia mpango nikahama kutoka huku na kuhamia shule yoyote dsm jijini dsm anijuze, kama waweza tubadilishane au nifanyie...
BILA KUWA NA NDOTO ZILIZO HAI NI NGUMU KUFIKIA MALENGO YETU.
Je, wewe una NDOTO gani?. NDOTO zako/yako ni hai?.
Mwalimu Masanja ni kati ya walimu wanaopenda kufundisha kwa mifano na vitendo...
Wakuu naomba kujua sheria za uwekezaji wa elimu kutoka nje inasemaje kuhusu wafanyakazi wa nje wanatakiwa kuwa wangapi
Hapa nalenga mtu amekuja kutoka china kufungua chuo kikuu hapa nchini je...
wakuu,
Samahani sana nipo mbali na chuo nimechaguliwa kujiunga na chuo tajwa hapo juu mpaka sasa sijajua vitu gani vinahitajika chuoni kama vile ada na mahitaji mengine. Kwenye sanduku la posta...
Wapendwa wadau wa elimu na maendeleo, hamjambo?
Ninatafuta vitabu au material yoyote ya combi ya HGL.
Kwenye vitabu naomba kufahamishwa majina(titles) na kuhusu materials/previous acsee...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.