Habari za asubuhi wakuu.
Naomb kuuliza hivi hawa NECTA na baraza la elimu kwanini huwa wanafanya hivyo? Yaani huwa kuna baadhi ya vitu havipo kwenye syllabus na vingine huwa wanavitoa lakini...
Eti wanadai wanarekebisha mishahara ya zamani ili kuweza kulipa mishahara mipya. Sawali ni je hawakujua siku zote kwamba wanalipa mishahara mipya? Kinachoonekana ni kwamba serikali haina pesa...
wajamvi poleni na majukumu ya hapa na pale. Naomba mwenye Details kuhusu mambo ya kujiandaa kwa wale wanaokwena jkt kwa mujibu wa sheria atudokeze hapa.
Nawasilisha
Kashfa ya Uchakachuaji wa matokeo ya mitihani Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere-Chanzo ni Gazeti la Jamhuri la tarehe 31/12/2013. Kashfa hii imetokea kwa tawi la Chuo Zanzibar na Dar. Wito...
Habari zenu wadau?matumaini yangu muwazima na mnaendelea na majukumu yenu ya kila cku kadri ya kila mmoja alivyojaaliwa.
Me ni ndugu yenu, Mtanzania mwenzenu nilimaliza kidato cha nne mwaka 2009...
BACKGROUND OF TEATO
Tanzania Education and Academic Transformation (TEATO) is a recently registered Non- Governmental Organization (NGO) under section 12 (2) of Act No. 24 of 2002 with...
Nilikisikia hivi karibuni kinaitwa Chuo kikuu cha Bagamoyo, makao yake makuu yako Mikocheni (Dar es Salaam). Nataka kufika ofisini kwao, niko Mwenge maeneo ya ITV, nimewauliza madereva wa Pikipiki...
kuna binti amemaliza form 4 kasoma arts
hesabu ana C
kiswahili C
english D
masomo manne yaliyobaki E
Priority yake ni Ualimu, lakini chochote anaweza soma Ngazi ya cheti.
CHUO GANI WATAMPOKEA?
Habari zenu wakuu! Mwenye kujua taarifa ya lini post za ualimu,kilimo na mifugo zinatoka? Na mara nyingi ipi inatangulia kutoka na ipi hufuatia? Tetesi na mawazo yenu ni muhimu Ahsanteni.
Mimi ni mwalimu, nahitaji TSD number, nimeenda halmashauri ya wilaya yangu Mkalama kufuatilia lakini bahati mbaya hiyo huduma haipo. Nimemwuliza DEO lakini kaniambia hizo TSD number tutatafutiwa...
habari wadau,
Napenda kuuliza kuhusu nafasi za kusoma vyuo vya Ualimu grade A kwa waliomaliza form IV, naona kimya kingi je kuna mwenye taarifa atufahamishe wadau? Hizi nafasi kama sijakosea...
Tangu niingie chuo naona luna uhusiano mkubwa san kati ya hii bank na loan board. Hii ni wazi kwa sababu watu wa Crdb hutangulia kupata hela kuliko bank nyingine but inabore pale transactio...
Ndugu wana JF wanafunzi wa vyuo mbalimbali hususani vyuo vifuatavyo; UDSM mlimani (chuo cha taifa), MUCE , DUCE na UDOM pesa zao zitaanza kulipwa baada ya sikukuu ya EID EL FITR.
Ni ukweli...
wale st.peter's seminary morogoro form 1990-1993
nafurahiu kuwakumbuka wenzangu tuliokuwepo wote enzi hizo wakati wa mr.bota,nyawale mr.mshiru,kinyau,mr.muhina,mr.mluge, sr.edith,sr.anna bila...
Nimeomba chuo kwa kupitia TCU ila toka nimeomba week ya pili hii nikitizama status naambiwa system check something like that, nimeomba education DUCE,UDOM na UD kwa nafasi zote na nina BBC
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.