mimi n mwanafunz nmemaliza hapo mliman lakin kuna course moja ya research methodology inayosimamia na doctor wiliam,ile course ilitakiwa tukafanye reseach lakin kutokana na ufinyu wa budget...
kwa ambao mmeenda chuo na mnaotarajia kwenda chuo nje ya Tanzania naomba mkazane sana kwenye English ya kuongea na kuandika.
nilishuhudia watu toka tanzania wakitia sana huruma kwenye...
hivi chuo cha National institute of tax NIT ina soko gan kwa ajira tanzania naomba mnisaidi maana kuna mdogo wangu anataka kwenda pale je anaweza kufanikiwa akimaliza elimu yake!
Moving Tanzania masterclass.
Kilimanjaro Film Institute (KFI) will conduct the Master class course intensive for three weeks, at its compound in Arusha from August 2014.
This project base on...
Samahani,mimi ni mgeni hapa.
Naombeni ushauri,kuna dogo langu linafanya mchakato wa application ya chuo anapenda sana akasome Bsc. mathematics .
Basi naomba kujua hiyo Bsc.mathematics iko chuo gan...
Hi Members,
I'm in Tanzania and want to do professional exams for actuaries. what are the requirements for a person who has not done actuarial science in college.
Kuna mdogo wangu baada ya kukakilisha zoezi la kuomba mkopo na kutuma akagundua kua fomu yake ni yanafunzi wa nnje na yeye ni mwanafunzi wa ndani na bodi wakamwambia muda wa kulekebisha umeisha...
Wakuu nawasalimia katika jina la JF ;
Napenda kuwashrikisha katika sherehe yangu ya Miaka 25 ya kujua kusoma.
Leo nimetimiza miaka 25 tokea nilipojifunza kusoma. Katika kipindi hiki nimenufaika...
matokeo ya shule kidato tano kwa awamu ya pili hatimaye yametoka katika website ya waziri mkuu wengi waliotarajia wamekuta tofauti wanafunzi wachache ndo waliochaguliwa poleni kwwa mlioachwa na...
wakuu mie ni mwanachuo cuhas bugando! kulingana na hali nayoiiona kukosa assignment kadhaa, nina uhakika nmedisco na hivyo ndoto yangu ya kuwa doctor ndo imeiishia hapa! ni shughuli ipi naweza...
Ndungu Wanajamvi,BRN Inatesa Sana Walimu Tarajaliwa wa Diploma Kwa Sasa, Diploma Imekua Kama Form Six! Kama Uongo Njoo Ujariau Kuonja Uone Ulimi Utakavyokatika, Matogoro STC, PG.
Msaada:Naomba kufahamishwa kuhusu (Orodha ya wilaya zenye nafasi za ajira)ili nijaze fomu kama maelezo ya kuomba nafasi za masomo wizara ya afya yanavyo elekeza kuhusu udhamini.
Maisha kwa kweli yanahitaji ujasiri sana, nakumbuka nilikotoka, jinsi nilivyosurubika nikiwa sekondari hadi namaliza kidato cha 6 nilikuwa nimechoka sana, mwaka 2011 ndo nilipohitimu kidato cha 6...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.