Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kuna wale wenzangu tuliotuma zile application za kusoma 5&6 pamoja na stashahada ya ualimu ila sijajua ni lini watatupatia majibu ya maombi yetu...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mambo hadharani wana-Udsm. poleni na wengine hongereni..!
0 Reactions
47 Replies
14K Views
naombeni kujua hili swala silielewi...je Kwa QT 1 huwa wanafanya mtihani wenye masomo gani?na hufaulu kwa wastani gan??na vp kuhusu QT 2 nao hufanya mtihani wa masomo mangapi?na ufaulu wao...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
How Tanzanian Education Help To Improve Level Of Developement?
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Jana nilipita mtaa flani hapa dar nikakuta makahaba wakijiuza nikashindwa kuwatofautisha na wadada zangu vyuoni jinsi walivyovaa. sasa bodi imegoma mpaka Leo msomi mdada kutumika na bodaboda kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wakuu, Waungwana, Binaadamu kwa anaejua, naomba maelezo ya NonPriority courses ndani ya mada ya hapo juu kwani kuna course nimeipenda lakini ndio hivo
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa taarifa zisizo lasmi heslb yawaka moto na inasemekana kulikua na hundi za kulipa vijana field na research!!
0 Reactions
10 Replies
3K Views
great thinkers,naomba msaada wa syllubus ya additional mathematics,au link itakayonisaidia kuipata,hata kama una sample ya papers nitashukuru kama utanisaidia ndugu,natanguliza shukrani
0 Reactions
17 Replies
3K Views
MSAADA wana Jamii forum.. habari zenu ,,ningependa kujua muda wa mafunzo haya kwani nimelipitia tangazo lao mara saba lakini sijaona muda yaani duration of the course kwa anaye jua anisaidie,,,,
0 Reactions
0 Replies
2K Views
wadau walio karibu na tukio tunaomba mtuthibitishie source@njia panda ya cloudsfm
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Quality Control In Secondary Education In Tanzania By Decentralization Of Inspectorate Department.Its My Intend Research Title For MAsters Of Educatinal Planing And Adminitration,please Give Your...
0 Reactions
6 Replies
849 Views
Jamani eti ni kweli Kuwa pesa za pt na tp zinaanza kulipwa next week j3 na j4? Mliokaribu na vyanzo vya habari tuhabarisheni.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Chuo kuzuia matokeo ya mwanafunzi anaedaiwa ni upungufu wa fikra kwa wasomi wetu wanaofanya kazi kwa mazoea tuu, mwanafunzi yupo mwaka wa 1au 2 unamzuilia matokeo ili iweje wakati bado yupo chuoni...
1 Reactions
6 Replies
9K Views
Tafadhali kama una kimeo hicho tuwasiliane ili nikisapue. Tafadhalun sana. Pia mwenye non do za hiyo kitu ani pm ili nimpe email anifoadie. Tusaidiane
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama kawaida ya serikali hii sikivu, baada ya kuchakachua matokeo ya kidato cha nne 2012 , sasa wamehamia kidato cha pili ...wameshusha alama hadi wastan wa alama 20, kama haitoshi wakasema basi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Njoo mbulu manyara mm nije morogoro mjini idara ya sekondari mawasiliano: 0784127593
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wana-Udsm. Natumaini wengi wetu tayari tumekwisha ona tulichovuna pale Aris, kwa mliopiga vizuri hongereni na kwa wenye sap poleni bt msife moyo kwani hii inatokea kwa mtu yeyote, muhimu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mkumbuke kuwa BRN imekuja BAADA ya wanafunzi wa kidato cha6 2014 kupapatua katika masomo yao ili angalau wapate E2 tu wajiunge na vyuo, na hawakujua kua hii system itatumika, therefore wote...
1 Reactions
0 Replies
729 Views
Eti pale palipoandikwa POSTAL ADDRESS katika appl. ya vyuo panatikiwa pajazwe nini?
1 Reactions
24 Replies
7K Views
Najua wengi wenu mmetupia macho kwenye Cut off Point. Wengine Kwenye Loan Priority. Wapo pia waliotupia macho kwenye Exposure ya chuo, market ya kozi anayotaka kwenda kusoma. Pia wapo waliangalia...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom