Habari wana JF,
Naomba kuuliza je kuna kozi ya diploma ya computer engineering and it technologies?? Kama ndio naomba msaada ni chuo kipi hapa tz wanatoa kozi hii
Weprovide a free of charge support in application and admission to Undergraduate,Masters, Ph.D and other professional programs with a wide range of academicdisciplines.
Wehave close ties with the...
Jamani mwenzenu napenda sana kusoma hiyo fani ngazi ya diploma nimechaguliwa ATC lakini watu wananambia nIbadilishe sababu ni ngumu watu wanafeli sana wanasema nisome telecom. Naombeni ushauri...
Habari ya leo wana Jf.
Naomba msaada kwa yeyote anaesoma/ anaemfahamu mtanzania anaesoma katika mji wa SUZHOU,Uliopo jimbo la Jiangsu, china anisaidie kuniunganisha nae kwa kuni-pm au kunitumia...
Wadau wa JF katika harakati za kujikomboa kimaisha nimeona nianzishe darasa la computer. Ambalo huko mbeleni natarajia ije iwe college ya mambo ya IT. Nimeanza na desktop 6 na lap top 3. Then huko...
Baada ya kutelekezwa kwa takribani mwezi mzima, leo kilio chetu kimesikika. Hii ni kwa UDSM. Hili liwe fundisho kwetu next time tusiwe wajinga kiasi hiki.
Bod ya mikopo baada ya kuchelewesha fedha za field kwa wanafunz wa elimu ya juu hatimaye jana wamewekewa hao wanafunzi hii n baada ya timbwili la wanafunz wa udsm pale nkurumal hall sk ya jpil...
Jaman nimeona mfumo umeruhusu tena mchakato wa udahili na wamesema ili kutoa nafas kwa wahitimu wa form six na watu liochelewa pia kuwapa nafasi wale walio omba nakukubaliwa na wameonesha nia ya...
Samahani wandugu hvi kuna yyote mwenye update juu ya hzi pesa za pt a.k.a practcal trainings coz cielew hii serikali inampngo gani mwezi sasa wapita twaganga njaa tu maofcn mwa watu..hvi kweli...
Ningependa kuwapa tahadhari walimu watarajiwa kuna watu wanajifanya wanafanya kazi wizara ya elimu na wengine tamisemi hao watu wanajifanya wanaweza kuwasaidia watu kuwapangia vituo vya kazi...
Habari za muda huu ndugu zangu. Mimi nilimjazia mdogo wangu vyuo kupitia CAS TCU tangu tarehe 27/7/2014 nilimjazia course nne nikaacha moja ili nikipata chuo kingine nije nijaze tena lakini...
Jamaa yangu anafanya research ya e-commerce Tanzania, ili kukamilisha research anaomba msaada wetu wadau. E-commerce ni teknolojia muhimu sana na inatumika sana huku nje. Kwa maelezo zaidi fungua...
Naamini kila mtu humu ndani anaupeo mkubwa wakushauri jambo hasa kuhusu elimu na coz zake!
Hivi wanajamvi kunautofauti gan (kwa wale wanaojua) kati ya coz ya BACHELOR OF ACCOUNTING AND FINANCE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.