Rais Kikwete amemteua Dkt. Charles Msonde kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Taifa la Mitihani Tanzania (NECTA), kuchukua nafasi ya nafasi iliyoachwa wazi na Dkt. Joyce Ndalichako, ambaye amerudi...
Habari za mchana wana JF.
Kuna mdogo wa rafiki yangu amekosea namba ya kujaziaa form zile za TCU, amejaza ya mwenzake wa pembeni yake sasa hapo itakuaje maana info zingine kama jina mahali yote...
S/msingi chato iliyofanya vibaya sana katika matokea ya darasa la saba mwaka 2013 imetunikiwa kikaragosi, sura kama kinalia alafi wapokeaji wanaona poa tuu!
Hii itasaidia shule kuimprove?
Katika ndoto za maisha yangu ni kua na elimu kama ya aliyekua profesa wa history wa Ivory Coast-Laurent.
Naombeni ushauri wenu kua masters nisome Course gani ili niwe Professor wa History.
Walimu wa msingi Manispaa ya moshi S,lp 318 Moshi 2/08/2013 Katibu mkuu/Tamisemi
Dodoma
s.l.p
Dar es Salaam
YAH . KUMLALAMIKIA AFISA ELIMU WA SHULE ZA MSINGI MANISPAA YA MOSHI...
Commonwealth Scholarships for Developing Commonwealth Countries Last updated: 14 Aug 2014 |
DFID
Masters/PhD Degree
Deadline: 3 Dec 2014 (annual)
Study in: UK
Course starts AY 2015-2016...
Habari wakuu, ningependa kujua kama kozi za uhandisi katika chuo cha kilimo sokoine kama IRRIGATION AND WATER RESOURCES ENGINEERING na AGRICULTURE ENGINEERING baada ya kuhitimu unapangiwa kazi na...
Kama unajua chuo chochote knachofundisha kozi tajwa hapo juu kwa ngazi ya cheti na diploma naomba unifahamishe kwa kuandika jina na mawasiliano kama yapo nasubiri msaada wenu wapendwa
yeye ni mwanafunz wa mwaka wa kwanza katika chuo flan hapa dar. Alifiwa na mama yake mzazi na akapata taarifa za msiba masaa machache kabla ya kuanza mtihani wake wa kwanza wa kumaliza semister ya...
Ikiwa ni wiki ya nane tangu mafunzo kwa vitendo(fieldwork) kuanza wanafunzi wa Elimu ya juu hawajapata fedha zao za kujikimu,hivo SIKU YA IJUMAA,TAREHE 15/08/2014 yatafanyika maandamano ya Amani...
Habari wanajamvi,
naomba kufahamishwa namna ya kupata/kucalculate GPA kwa mwanafunzi wa form iv 2014
atayepata
Civ=C, Maths=D, kiswahili=A, English=B, Bios= C, Hist= D, B/K= C, Com=D...
Wanajamvi, kiambatisho kilichoambatishwa ni majina ya ajira za Ualimu kwa mwaka 2014 kwa wahitimu ngazi ya shahada ya elimu (Degree level) na Mikoa na Halmashauri walizopangwa. Niwape hongera...
Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia taasisi yake inayohusika na mikopo yaani BODI YA MIKOPO KWA WANFUNZI WA ELIMU YA JUU imepitisha kuwa kwa wanafunzi wote watakao soma diploma ya...