Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Shalom wanajf,Naomba kwa wanaofahamu kinagaubaga juu ya hiyo kozi, anisaidie kufafanua mtu atakayesoma kozi hii atapata kujifunza juuu ya nini, field anaweza kufanyia wapi pia hata kikazi ataweza...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kutokana na mkanganyiko unaoendelea kuhusu matokeo ya kidato cha sita 2014,tuangalie kwanza TCU wanataka nini. ukiangalia ukurasa wa 9(chini kabisa)wa kitabu cha TCU unasema kwamba...
2 Reactions
64 Replies
21K Views
The Makerere University Vice Chancellor, Prof John Ddumba-Ssentamu (right), leads a procession during a graduation at the institution By Patience Ahimbisibwe, The Citizen...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Jamani mimi nimepata BCC,HKL ninataka kuomba baed kampala.Naomba kujua mapungufu ya chuo hiki,na chuo kingine kizuri apa dar es salaam.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
kwa anayefahamu chuo hicho tafadhali anijuze nimechaguliwa hapo certificate in clinical medical /assistant clinical officer.... je chuo ni serikali au private. jografia na majengo pamoja na...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
Sakata la mali za John Komba kupigwa mnada kufuatia deni la Tsh bilion 1.2 analodaiwa na benki ya CRDB limefikia tamati baada ya mfanyabiashara nguli na Mwenyekiti wa klabu ya Yanga, Bw Yusuf...
0 Reactions
95 Replies
13K Views
Jaman mim ni muajiriwa mpya huku wilaya mpya ya buhigwe mkoa wa kigoma idara ya sec. naomba kupewa utaratbu wa kuhama kituo cha kazi kwenda mkoa wa arusha,tanga au kilmanjaro bila kubdlshana na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ndugu wanajamii forum ,pamoja na wadau wengine jana nilileta hapa madai yangu jinsi ninavyoteseka sn kwa kupoteteza vyeti vyangu vya O and A level. Wadau mbalimbali wa hapa jamii forum...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Jaman anayehua history ya mnazi mmoja naomba anisaidie
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ndugu wadau sisi wanafunzi wa Chuo Cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere-Kigamboni tunaomba mtufikishie ombi letu kwa Serikali kupitia Wizara ya Elimu ili iinusuru Chuo hiki. Tunakaribia kurudi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Dogo langu amesoma egm eti ana bbd iyo course itamfaa and ina ajira?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Najivunia kuwa miongön mwa tuliopitia hapo na kufanikisha malengo yangu,shukran zmendee mkuu chungu,madam asha,nshanganiye,baba ludo nk, nakupenda minaki
2 Reactions
66 Replies
14K Views
can somebody eimail me swahili - english or english - sawhilil dictionaries please @ shavajohnson@gmail.com thanks
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari za muda huu wadau,DIT wameachia majina ya walioomba kusoma pre-entry 2014/2015.habari zaidi tembele www.dit.ac.tz..kila la heri.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari waungwana wa JF! Naombeni msaada wa kupata vitabu/vitini vya kiswahili kwa ajili ya kujifunza 'creative writing'. Nahitaji kujifunza mimi mwenyewe ili niwe naandika vitu (kama hadithi fupi...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Mimi ni mwalimu idara msingi nipo Mtwara ninatafuta mwalimu wa kubadirishana nae kutoka Mikoa ya Iringa, Mbeya, Njombe, Rukwa, Morogoro katika wilaya yoyote kwa mikoa tajwa kama yupo ani PM
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni ushauri wanajamii kuhusu human resourse course nataka kufanya specilization ya course hiyo mwaka wa pili UDSM.
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Naombeni ushauri wanajamii kuhusu human resourse course nataka kufanya specilization ya course hiyo mwaka wa pili UDSM.
0 Reactions
0 Replies
690 Views
TAHADHARI KWA WAOMBAJI WA MIKOPO YA WANAFUNZI WA ELIMU YA JUU KUHUSU KUZUKA KWA GENGE LA MATAPELI WANAODAI FEDHA KUTOKA KWA WAOMBAJI MIKOPO BODI YA...
2 Reactions
9 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…