Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu wana jf msaada na ushauri wenu.Nina mdogo wangu yeye ana vyeti vya taaluma ya Early Childhood na Community Development.Anahitaji kujiunga Diploma je asome ipi kati ya DIPLOMA IN EARLY...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
WanaJF:1. Loan Board wanatoza sh 30,000/- (non refundable) kwa kila mwombaji. Waliohitimu F6 2014, wote takribani waliomba huku wakisubilia majibu ya mtihani wao wa mwisho;2. TCU hivi sasa...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
KAMPALA Makerere University has been ranked the best institution in East, Central and West Africa in the latest world university ranking...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwa vijana wa chuo, wapenda maendeleo Umri kati ya miaka 18-40, Kambi maalum ya kimataifa kwa vijana inatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 3-17, Agosti, 2014 na nyingine 31,Agosti-...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Wanafunzi walomaliza mwaka huu form six ombeni vyuo kwani kuanzia leo mtandao wa tcu umewaruhusu rasmi.
2 Reactions
13 Replies
3K Views
-Kujua Kusoma na Kuandika. 1. Zimbabwe-90.70% 2. Equatorial Guinea-87.0% 3. South Africa-86.40% 4. Kenya-85.10% 5. Namibia-85.00% 6. Sao Tome and Principe-84.90% 7. Lesotho-84.80% 8...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtu mwenye matokeo haya anaenda chuo maana hii ni div 4 point 14 G/STUDIES - 'D' PHYSICS - 'E' CHEMISTRY - 'C' ADV/MATHS - 'C'
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Modds sijui mtafanyaje, lakini angalieni namna ya kuwafikishia ujumbe hawa wadogo zetu waliofanya Application kupitia NACTE kwa kozi za Afya. First batch imetoka kwa waliokuwa selected., tatizo ni...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Habari wanajamii? Mimi ni muajiriwa kwenye kampuni fulani mkoani morogoro, naomba msaada kwa yeyote anayefahamu mahali ninapoweza kupata utaalamu wa advanced excel. Sio muhimu sana kupata...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimepitia website ya tcu nimeona kwa art kupata mkopo lazima awe na point 4 ila kwa upande wa sayansi sijajua napitia website ya bodi sioni wadau ka kuna mtu anajua naomba atujuze!!! Sent from...
1 Reactions
0 Replies
672 Views
poleni na majukumu wadau lei nimepita sehemu nimeona vijana waliomaliza form six wakisimuliana maisha ya chuo kikuu wakanikumbusha mbali sana hasa fujo za wanafunzi mda boom likitoka...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Heshima kwenu GT. Mimi ni mmoja wa wahitimu niliofanya vibaya katika matokeo ya kidato cha sita. Sasa nataka nitumie cheti changu cha form 4 nikasome diploma ya madini. Ukiacha chuo cha madini cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Watu wa diploma (NTA) na wale FTC TCU kuapply deadline mwsho lini? Msaada maana watu wanachanganyana
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau nimechelewa kutuma application kwa ajili ya course ya uwalimu ya bridging tafadhali kwa mdau yyt anayeweza kuniunganisha na chuo husika ani pm. NB.Any joke it's better to comment nothing
0 Reactions
3 Replies
975 Views
Kwa muda mrefu sasa imekuwa nikisikia wazazi na wanafunzi wakilalamikia kufanya vibaya katika mitihani ya masomo ya sayansi. Mojawapo ya sababu ya kutofanya vizuri wamekuwa wakisema ni kutokuwa na...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Hii ni SPECIAL THREAD kwa ajili ya wale wenye maswali juu ya chuo cha IMTU (International Medical and Technology University). Maalum kwa ajili ya maswali, ufafanuzi na taarifa kadhaa juu ya Chuo...
1 Reactions
85 Replies
20K Views
jamani khabarini zenu.... hv kuna tetesi zozote kuhusu selection za ualimu ngazi ya cheti????
0 Reactions
1 Replies
1K Views
jamani napenda kuuliza kuhusu form six walioko jkt, kuna utaratibu gani wa kuomba vyuo, au ndo imekula kwao?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hi friends naomba mnijuilishe je naweza kusoma B.com. in Banking & Financial services kwa comb. ya PCM pale UD?
0 Reactions
0 Replies
848 Views
Kuna jamaa yangu anasoma UDSM mwaka wa pili, leo kanishangaza kwa kuniambia kwamba kuna baadhi ya wahadhiri wa chuo hicho, wakiwemo maprofesa, ambao husomesha tuisheni kwa baadhi ya wanafunzi wa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…