habari zenu wakuu. Nauliza kama kuna kozi yoyote ya pcm kwa matokeo haya cbb respectively ambayo itaweza kuja kunilipa atleast 2,000,000 per month? na ni kwa chuo gani
Ufaulu wangu ni huu History=B, Kiswahili=B, Language=C , div 3 point 10, je ninaweza kupata chuo? Pia course ipi naweza kusoma mana sijajua hata nisome kitu gani.
Jamani mimi nataka kusoma BAED katika vyuo vya dar es salaam,nataka nijaze udsm na duce...kuna mtu kaniambia kuwa nikikosa nafasi katika vyuo ivyo nitapelekwa Mkwawa, ivi ni kwel? na MUCE sipendi...
Mimi kama mwalimu wa sekondari na niliyefundisha wanafunzi wa acsee 2014 nimefarijika sana na matokeo haya.imeonesha ni jinsi gani walimu tumejituma mpaka uwezo wetu wa mwisho kuhakikisha elimu ya...
Wadau habari zenu.... embu tusaidiane na kujuzana kuwa graduate diploma na certificate wanaenda jkt kwa mujibu wa sheria na post zao zinatokea huko huko jeshini. Nimeckia diploma na certificate...
Nijulisheni ada pamoja na michango ni sh.ngapi kwa certificate coz in clinical medicine vyuo vya serikali.Mdogo wangu kachaguliwa sumbawanga institute.
Have you ever enjoyed the benefits of this free service called drop box where you can store your data online freely and safely and then access them anytime from any angle of this world?
Please...
Competition among high schools in Dar es salaam is brutal, driven by either the desire to perform or the lust for ample revenues; but all in all parents are after nothing else but good results...
Poleni na majukumu ya kazi wakuu,mimi nahitaji msaada kidogo nina uncle wangu anasoma CBE pale posta juzi tumemlipia ada ili afanye mitihani sasa tatizo hatujuwi kama kashamaliza hiyo mitihani...
Kutokana na kitendo cha ubabaishaji wa
kuwapatia pesa toka bodi(heslb) mimi NAAMIN nimeazimia kuanzisha mgomo na maandamano ya Pamoja kwa wale wote wanaofanyia field Dar ambao utaifikishia ujumbe...
Napenda kuchukua nafasi hii kuwajuza wazazi,walezi na wanafunzi juu ya sintofahamu hii ya suala la ongezeko la ada chuoni kcmc.
Jana kulikuwa na college baraza na majibu ya viongozi wa serikari...
Tafadhali kwa wale wenye uzoefu wa masters zinazotolewa kwa njia ya masafa marefu, je huwa vyeti vyake vinatambulika na serikali yetu? Tafadhali napenda kujua, chuo chenyewe ninachotaka kusoma ni...
wakuu
Amehitimu mwaka huo diploma na matokeo odio kwanza yametoka wiki iliyopìta. Wakati akiaply chuo thru Cas, anadaiwa namba ya cheti na anatakiwa pia akiupload cheti, na vyeti hawajapatiwa...
Hivi wanafunzi wanaoomba kujiunga na vyou vya afisa pia wanafanya on-line registration katika mfumo wa central addimission system.au inakuwaje majina ya waliochaguliwa yanatolewa kwenye website ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.