Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

habari zenu? jamani naombeni ushauri nimejaaliwa kufaulu kidato cha sita nakupata matokeo haya Gs-'C' Geography-C English-B Kiswahili-B hv faculty gani nzuri ya kusomea na chuo kipi kzuri...
0 Reactions
75 Replies
12K Views
1:-Imehitimisha mara 4 mpaka sasa 2:-Ina vyumba v4 vya madarasa. 3:-Wanafunzi wapo 498 ila ina madawati 63 tu. 4:-Ina ofisi 1 tu. 5:-Haina hata tundu 1 la choo ya kudumu 6:-Eneo la shule ni ekari...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
Wadau hbr za muda huu? naomba kujuzwa taratibu za kusoma "QT" na sehemu gani nzuri mtu anaweza kuipata elimu hii!! kwa Dar es salaam Kwa kipindi hiki mtu anaweza kujiunga na kufanya mtihani wa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ni wapi naweza soma online kitabu (riwaya) hiki au kudownload? msaada jaman
0 Reactions
0 Replies
677 Views
Habari zenu wakuu. Labda niende moja kwa moja kwenye mada yangu ambayo ndiyo shida yangu kimsingi. Kuna yeyote anayeifahamu au anahusika kwa namna moja au nyingine katika shule tajwa hapo juu...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kipindi kuanzia mwaka 2010 kurudi nyuma wakati chuo cha IFM kinatoa advance diploma na wala sio degree ni tofauti sana na sasa baada ya kuanza kutoa degree.Ifm ilikuwa ni sehemu ya maonyesho ya...
0 Reactions
26 Replies
7K Views
Naona kila mmoja anashangaa matokeo ya shule fulani kuwa mazuri sana wakilinganisha na shule zingine. Shule ambayo wanafunzi wanafundishwa na waalimu (na kusimamiwa na Patrons or Matrons) ambao...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bachelor of Arts in Public Administration : Program description Students pursuing a Bachelor of Public Administration (BPA) degree will develop leadership, analytical, organizational...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Bachelor of Arts in Public Administration : Program description Students pursuing a Bachelor of Public Administration (BPA) degree will develop leadership, analytical, organizational...
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Habari wana JF..katika vyuo vilivyotajwa hapo kipi ni kizuli kwenda kusomea kozi za engineering kama civil etc..kuanzia mazingira mpaka ubora wa elimu. msaada wakuu!
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Samahani wana jamvi ni vyuo gani nje ya nchi ambavyo vinatowa vyeti kwa online study au kwa kufanya mitihani yao mbalimbali online naombeni mnitajie ili nami nfanye ila ukikiacha Alisson ntajieni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nataka kujua process za kuhama shule kwa upande wa Advanced-level... nisaidieni waungwana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Jamani..naombeni ushauri wenu..nichukue engineering gani..nimemaliza form six..na kwasasa ndo tunajaza kozi na vyuo vya kusomea..naombeni mniambie nichukue engineering gani kati ya hizo na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani ninaomba kusaidiwa kati ya ivyo vyuo hapo juu ni kipi bora kwa kusoma BAED.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Akiongea na Radio5 katika kipindi cha GOOD MORNING TANZANIA asubuhi hii kaimu mkurugenzi wa bodi ya mikopo ya elimu ya juu bwana Asanje Bangu amejibu swali la mtangazaji aliyetaka kujua ni kwa...
1 Reactions
14 Replies
5K Views
Wakuu samahani naomba niwasumbue kidogo...! Naomba mnitajie courses za kusoma chuoni kwa masomo ya arts....hgl,hkl na hgk..?"!
0 Reactions
3 Replies
6K Views
Wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi imeratibu mafunzo kabilisho kwa vijana 374 chuo cha ualimu Mambo bduli.Aidha mafunzo haya yalifanyika chuo cha ualimu Morogoro miaka ya nyuma,wakufunzi hao...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Kama serikali imeamua kurekebisha grading system kutoka O. level hadi form six basi io haja pia ya kuweka mpango mpya wa kudahili watu kuiunga na vyuo vikuu. NİNİ MCHANGO WAKO MDAU...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wanaokijua vizuri chuo hiki tupatieni ukweli wa umakini wake Angalia kiambatisho
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…