Shule ipo wilaya ya Mbinga mkoani Ruvuma, ina o-level(boyz&girls) A-level(boyz) shule ipo mtaa wa Uzunguni, ina bweni(kwa A-level tu), walimu wapowapo na mazingira ni mazuri kujisomea.. Nimemaliza...
Hivi ni kweli wadau wa jf eti kuna chaguo la pili kwa wale ambao hawakuchaguliwa kujiunga na kidato cha 5 wakati wame shinda kutokana na huaba washule sasa watachaguliwa awamu ya pili? daah kama...
Wanajf, heshima kwenu.
Naomba niwajuze kuwa, kuna jamaa anamiliki computer kadhaa alizoweka shule ya msingi annex, lengo lake ni kuwafundisha walimu wa shule za msingi, cha ajabu walimu wake...
Hatimaye serikali yapandisha ada kwa wanaosoma vyuo vya ualimu kwa zaidi ya mara mbili ya iliyokuwepo awali(grade a watalipa Tsh 300000,diploma arts Tsh 400000 na diploma science Tsh 600000)je...
Baada ya kusota na masomo ya elimu ya chuo kikuu kwa muda wa miaka minne(huku ikitakiwa miaka mitatu tu). Hatimaye, japokuwa ilikuwa safari ndefu, imefika mwisho wake.
Mchanganuo,
2010/2011-...
Wadau wa fani ya uhasibu, hii inawahusu..
Hatimaye sasa NBAA wametamka rasmi na kuweka syllabus mpya hadharani ambayo itaanza kutumika effectively kuanzia tarehe 1 July 2014.. For more...