Wakuu naomba msaada wenu. Mdogo wangu kachaguliwa kwenda Form V (HGE) huko Galanos high school, Tanga.
Kuna yeyote anayejua kama shule hii ina mazingira mazuri ya kusoma hiyo combination ya HGE...
habar zenu comrades!
nlikuwa naomben kukuuliza ya kwamba kitabu cha TCU GUIDE kinachoendana na mabadiliko ya alama za ufaulu kwa xaxa kimashatoka? je ni wap cha weka kupatikana?
Samahani wote,naombeni msaada wenu kwa hili. Najiunga kidato cha tano mwaka huu na comb zote zimebalance za arts na science.
Nataka kusoma CBG lakin watu wengi nnaokutana nao wanasema si comb...
Hi guyz?
A week ago, i had an ICT exam,
Of the difficult questions i had experienced, here is one of them...I NEED HELP from whoever familiar of it;-
"A Dell Pro 330 PC is rotating at 23.5 x...
Division zimefutwa saiv matokeo yanatoka kwa mfumo GPA ambapo imegawanyika kuna
1.distinction 3.7-5.0
2.merit 3.0-3.6
3.credit 1.7-2.9
4.pass 0.7-1.6
5.fail 0.0-0.6
na pass ni ufaulu wa chini...
CPA REVIEWS!!!!!!!! CPA REVIEWS!!!!!!!
Je, uko Dodoma na unahitaji kujiandaa na syllabus mpya ya NBAA?
Kama jibu lako ni ndiyo, basi njoo ukutane na vipaji maalumu vyenye mchanganyiko wa ACCA na...
Wakati wananchi tukiwa tunashuhudia sera za serikali za matokeo makubwa sasa! {BIG RESULTS NOW} wanafunzi wa shule za bodi wamekua wakipata chakula kwa kusuasua kutokana na migomo ya wazabuni wa...
Wadau habari zenu?Naulizia mwenye kujua kama musoma mjini kuna watu wa review classes za CPA (T) au la mana natafuta sehemu ya kusoma kwa ajili ya mitihani ya bodi ya uhasibu,ahsanteni sana.
Nina mdogo wangu amepata matokeo haya
CIV-C, HIST-C, ENG-C, KISW-B, GEO-E, BIOS-E, B/MATH-F= DIV4/34
je anaweza kupata shule ya private kwa mchepuo wa HKL au HGK , AU nitamtafutie nafasi...
Wakati wananchi tukiwa tunashuhudia sera za serikali za matokeo makubwa sasa! {BIG RESULTS NOW} wanafunzi wa shule za bodi wamekua wakipata chakula kwa kusuasua kutokana na migomo ya wazabuni wa...
Bodi ya mikopo imechekesha mwaka huu,,ukimaliza miaka mitatu iliopita ni moja ya kigezo cha kukunyima mkopo.hivi wanajua ni kwa nin mwanafunzi aliyehitimu kidato cha sita alikaa muda huo bila...
Amani kwenu wana wa jf,naombeni mnijuze hili;ni kwamba nimeaply kupitia diploma,kwenye profile yangu katika program 5 nilizochagua kwenye vyuo tofaut tofaut,program 4 zinaonesha admission capacity...
Nina ndugu yangu amemaliza kidato cha nne na amefaulu tu vizuri cha kushangaza aja pangiwa katika posts amekata tamaa mana baba yake ana dhani ajafaulu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.