Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

kwa wale wanachuo waliomaliza mwaka masomo 2011/2012 waliokuwa BED SCIENCE walikuwa wanadaiwa 1000000 kwa sababu HESLB ilileta hela pungufu. sasa cha ajabu ni kuwa wahasibu wa college ya education...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Naomba mwenye kujua shule ya sekondari ya serikali iliyopo maeneo ya wilaya ya kinondoni wanayotoa accomodation, na iwe maeneo ya tegeta, kijitonyama au mbezi ya kimara nijuzeni wadau
0 Reactions
0 Replies
883 Views
Habari! form za kujiunga na Msc/Phd zimetoka Nelson mandela African institution of science and technology.kwa mwenye sifa tembelea The Nelson Mandela African Institution of Science and Technology...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mdogo wangu kamaliza mwaka huu form six hajachaguliwa bado kwnd jeshini hvy anajipanga na chuo; amesomea PGM ; nataka kujuzwa chuo wanaanza lini process za admission? Na je mambo ya mkopo yakoje...
0 Reactions
0 Replies
848 Views
mi Nina mdogo wangu amemaliza kidato cha Nne mwaka 2013, Anaenda chuo cha Afya cha st.bhakita namanyere kozi ya MEDICAL LABORATORY naomba mnisaidie Kama hii kozi inawweza kumpatia kazi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanajukwaa Habarini Najitokeza kuuliza kwa yoyote anaejua kama kuna uwezekano wa kurecover losted form 4 certificate kutoka NECTA na document wanazohitaji kama zipo Asanten.
0 Reactions
0 Replies
548 Views
Habari wana jamvi, Naomba mwenye taarifa ya uhamisho wa watumishi kutoka TAMISEMI kipindi hiki cha katikati ya mwaka anijuze. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ninaomba mwenye dictionary tajwa hapo juu anisaidie coz ilikuwa inanisaisia sana. niliyokuwa nayo imepotelea kwenye mashine yangu iliyopotea. mwenye nayo anaweza kunitumia kwenye e-mail...
0 Reactions
0 Replies
715 Views
Msaada wakuu kwa anayefahamu form five wanaingia lini anitarifu au mwenye namba ya simu ya mtu yoyote anipe kuna mdogo wangu yuko kijijini hajapata join instruction na hajui lini wanafungua
1 Reactions
1 Replies
6K Views
Jamani naombeni mnijulishe Kwa Mwenye uelewa nime lipia bodi ya mikopo ya elimu ya ju sh.30000 Kwa mpesa, wamenitumia sms kwamba pesa imesha lipwa lakini Kila niki login inakataa nashindwa kujaza...
0 Reactions
21 Replies
8K Views
Jamani kwa mnaojua majina ya watumishi walioomba kuhama wanatoaga trh zipi wenye experience tafadhali.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyu jamaa ni tapeli sana.. Anatazama namna watu mnavotaka kubadilishana vituo vya kazi then ataku-pm.. Utamuona anajifanya anajua issue yako then ukimchunguza utaona mengine hajui. Akikupgia Simu...
3 Reactions
17 Replies
5K Views
Naandika kwa masikitiko hii taarifa jamani wakubwa zangu shikamooni,vijana wenzangu habarini za muda huu,...kama inavyofahamika wizara ya elimu imetoa tangazo la nafasi za masomo ya kidato cha...
0 Reactions
57 Replies
6K Views
Mm nimechaguliwa Songea boys ila hadi sasa hv sijapata join instruction kama kuna mtu amepata au anayo naomba msaada
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wanafunzi wa chuo kikuu kishiriki cha elimu dar es salaam, wameanza vugu vugu la maandamano kuishinikiza bodi ya mikopo kuwapa fedha zao za mazoezi kwa vitendo(field) wanafunzi hao wamesema chuo...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Wale woote wanao ijua au Kusoma hii shule?? Jamani we acha tu?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
Book Review: The Democratic Republic of the Congo, Between Hope and Despair (Michael Deibert, 2013) Contributor: Soraya Aziz Souleymane Michael Deibert's The Democratic Republic of the Congo...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Mwenye nayo au uwezekano wa kuipata anisaidie
0 Reactions
0 Replies
7K Views
Habari za uhakika Mr.maneno leo mchana anaachia matokeo ya nbaa may 2014.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Chuo cha private cha diploma ya clinical medicine cha private cha bei nafuu.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom