RATIBA YA MTIHANI YA KIDATO CHA NNE (CSEE) MWAKA HUU INAANZA RASMI JUMATATU OKTOBA 06, 2014, NA MTIHANI WA MAJARIBIO WA CHAKULA NA LISHE (051/2 FOOD AND NUTRITION PRACTICAL ) NA KUMALIZIKA...
Asalam aleikum!!Wakuu mwenye data kuhusu quality ya chuo hiki,naona kama chuo kiko kimya hivi tofauti kabisa na SAUT,au kozi zao ni za kimya-kimya hamtaki wengine tujue.Nataka kujua pia kama na...
jamani leo kuna ndugu yangu nimemlipia elfu hamsini kwa ajili ya kusoma degree mwaka huu...kupitia mtandao wa nacte kwa equivalent
kwa maisha ya sasa elfu hamsini ni ndefuu sana....si mchezo ivi...
Kwa taarifa tulizozipata hivi punde ni kwamba wanafunzi wa chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) wanajiandaa kuandamana kushinikiza kupewa hela zao za mafunzo kwa vitendo mtoa taarifa amesema chuo...
Kuna rafiki yangu hajachaguliwa kwenda 4m5 ila anataka kusoma ualimu katika chuo chochote cha private kilichopo morogoro,dar,dom au kilimanjaro chenye gharama nafuu.hivyo basi kwa anaejua chuo...
Nimepokea Kwa Masikitiko Makubwa Kifo Cha Mhadhiri Mwandamizi na Aliyewahi Pia Kuwa Mkurugenzi Wa Iliyokuwa Redio Tanzania Dar es Salaam Na Mwandishi Wa Vitabu Na Makala Za Uhakika Mr. Nkwabi...
Mgomo wa migodi afrika kusini kwa muda wa miezi 5 umewawezesha leo kufikia makubaliano ya kulipwa $1200 toka $450 kwa mwezi pia kupata huduma za afya na nyumba.Jee nyie waalimu mnashindwa nini...
Baada ya kuwepo kwa sitokujua nyingi kwa baadhi ya wazazi na wanafunzi juu ya wale waliokosa nafasi za kujiunga na mafunzo ya kidato cha tano serikali imeamua kuwaita kwa kutumia njia hii ...
Kuna rafiki yangu hajachaguliwa kwenda 4m5 ila anataka kusoma ualimu katika chuo chochote cha private kilichopo morogoro,dar,dom au kilimanjaro chenye gharama nafuu.hivyo basi kwa anaejua chuo...
Hivi hii elimu yetu inaelekea wapi, leo katika kipindi cha watoto cha redioni nikasikia mwendesha kipindi anamuuliza mwanafunzi wa darasa la nne huu ni mwezi wa ngapi kwa kiingereza, mwanafunzi...
Naombeni msaada wapendwa.....nahitaji kusomea ujuzi wa umeme wa magari, ngazi yangu ya elimu ni kidato cha nne sikubaatika kupata alama nzuri za masomo.Nilipata four ya 30;
Civ......D
Hist.....D...
wakuu heshima kwenu, leo jumamosi, tarehe 28/06/2014;saa nane mchana, maeneo ya chuo kikuu cha dar-es- salaam, nkrumah hall, kutakuwa na kikao cha majumuisho ya kuanzishwa kwa tanzania graduate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.