Serikali imetangaza kuongezeka kwa ada kwa vyuo vya ualimu, walimu wacheti watalipa tsh 300000 badala ya 200000 ya zamani, na 400000 stashahada kwa walimu wa masomo ya sanaa(art) na 600000 kwa...
naomba nijuzeni wana jf hivi mwisho was kupokea maombi ya uhamisho tamisemi ni tarehe ngapi? barua nimeituma tare he 16 mwezi wa 6 nilituma kwa EMS, na ukichelewa deadline yao wanafanyaje...
Habar wana jf,kama unatatzo lolote lnalohusiana na yafuatayo
1. Researches
- Marketing researches
- Business researches
- Academic reseaches
- Other researches
2.Company registration...
Ktk kucheki kumbukumbu zangu nimegundua vyeti vyangu vya secondary both olevel na A level vimepotea sasa naomba ushauri nn nifanye ili kupata vingine,yeyote ambaye alishapata ttzo km ili.......plz
Naomba kufahamishwa kwanini izi grade zipo tofauti, mfano udsm c yao inaishia 40 na saut c yao mwisho ni 50, unakuta mtu mwenye lower second saut akija udsm kwa maksi zao anakua na upper second...
Wandugu nina mwanangu yupo anamaliza sasa hv UDOM (college of informatics and virtual education) ametumiwa hii E- mail baada ya kusoma tangazo la kwamba Barrick wanataka fresh graduates wafanye...
Nina ndugu yangu anaomba mkopo online kila akiingiza M PESA ID yake sehemu husika inamwambia invalid ID wakati kwenye simu inaonekana imetumwa kwao. Afanyeje.
jamani kwa wale wadogo zangu watakao chaguliwa kujiunga na kidato cha tano lukole high school{ngara-kagera} nawakaribisha sana hapa ckuli....ni shule nzuri yenye waalimu wa kutosha na wenye uzoefu...
Ni kuhusu masomo yangu!
Nimejawa na hofu inayonifanya niishi bila raha yaani natetemeka kila wakati,moyo unauma na wakati mwingine nashindwa kupumua vizuri!
Hofu yenyewe inanifanya ninachokisoma...
Hi,habari zenu ndugu zangu,
Naomba kwa mwenye ufahamu anisaidie...ninataka kuwa kwenye bendi ya muziki....bendi kama zile za msondo,the spirit ya vitalis maembe..nadhani utakua umepata picha...ila...
The University offers a number of full tuition fee award scholarships to you if you are an exceptionally well-qualified student.
Application criteria for scholarships
Academic criteria
Full...
wapendwa wana jf heshma kwenu!
me ni mwalimu mpya idara ya secondary kutoka mkoa wa kilimanjaro nimepangwa KIGOMA mwaka huu tar 01-04-2014 yan huwez amim mpaka leo hii nnavyopost hii thrend...
Kwa nujibu wa gazeti la habari Leo la tarehe 26/6/2014 NECTA itakua inatumia alama za mithani ya Mock kama CA kwenye mitihani ya Kidato cha Nne na Sita.
Je, hii imeakaaje? Maandalizi ya MOCK...
Habari za leo wanajmvi.naomba nilete uzi huu kwa maana sielewi.nilipata Mkopo kwa mwaka wangu wa masomo 2013-2014 lakini nilipata kwa asilimia ndogo ya 44.na nmekuwa nikitumia boom kujazia ada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.