Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wanna jf pole kwa majukumu naomba MTU anayejua mwongozo au mambo ya muhimu kuambatanisha ili kuomba wizara kunibadilishia shule niliyopangiwa kidato cha 5 .nashukru
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kwa wale waliochaguliwa kujiunga na kidato cha tano dareda sec school tukutane hapa
0 Reactions
0 Replies
2K Views
:fish2: Wana JF naomba msaada wenu tafadhali, mdogo wangu amechaguliwa kwenda KISIWANI SEC -SAME A-Level, kama kuna anayefahamu shule ilipo kule Same naomba anielekeze. Naomba pia kujua kama...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Mi Namaliza 4m 4 Mwaka Huu Kwaiyo Naomben Jaman Mnijulishe Kuhusu Izo Shule Na Iwe Ya Boarding..
0 Reactions
0 Replies
866 Views
We really have serious problem at our universities nowdays. Patterns of students available at universities nowdays lack intellectual skills. I think the way they behave reflects the characters of...
2 Reactions
38 Replies
9K Views
hivi ikitokea kukawa na mfumo unaofanana fanana na NECTA kuweka paper la pamoja kuna baadhi ya vyuo itakuwa ni aibu tupu, vitashika mikia miaka yote, mimi naamini aliyepata four au 3 ya mwisho...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
African Education system has surprising outcomes. The smartest students pass with 1st Class and get admissions to medical and engineering schools. The 2nd Class students get MBAs and LLB’s to...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Ni ajabu na kweli wanafunzi wa diploma mwaka wa kwanza hawajafanya mtihani wa mwaka wa kwanza(brn) mpaka leo hv tatizo ni nini? wandugu kama kuna mwenye info anipe maana cjajua bado na inakuaje...
0 Reactions
0 Replies
956 Views
Tangu ijumaa nakuja mjini kujaza fomu za maombi ya mkopo kwa njia ya mtandao, nalipa sh.2000 kwa saa kenye huduma za internet, bada ya kujaza taarifa zangu kwa usahihi kabisa nimeshindwa ku-Print...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Tanzania ina vijana wengi ambao mpaka wanamaliza kidato cha 4/6 hawajui watakuja/wanapenda kuwa wataalam wa fani gani. Hii ni changamoto kubwa sana katika nchi yetu. Moja ya sababu ni kuhofia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NECTA imetoa mwongozo wa matumizi ya viwango vya Ufaulu (Aprili 2014) ambao umesambwazwa katika shule zote ze sekondari kupitia kwa Maafisa Elimu wa Mikoa. Kwa mujibu wa mwongozo huo Madaraja ya...
2 Reactions
40 Replies
18K Views
Ndugu wanaJF, wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT) licha ya kuwa na changamoto nyingi katika utafutaji wao wa elimu (hasa kwa kuzingatia kuwa wanasoma na wakati huohuo wanafanya kazi)...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
wanajf naomba kuuliza kuhusu process ya kurenew mkopo kwa continous student kama bado ipo.na kama ipo inakuaje au inafuata hatua zipi?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu ninaomba mnisaidie nahitaji kujiunga na PERFECT VISION HIGH SCHOOL..Je xule ipo sehem gani hapo dar
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Electronics& telecommunication vs mechanical vs laboratory science kati ya hizo ipi ni nzuri ambayo utamshauri mdogo wako wa form four aende akasome? Msaada jamani.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana JF naomba msaada kuhusu vigezo vinavyotakiwa mtu kusomea sheria ngazi ya Certificate. Naombeni msaada wenu please.
0 Reactions
12 Replies
5K Views
Habari zenu wakuu, nashukuru Mungu nimebahtika kupata nafasi ya kuendelea na masomo. Swali langu ni kuwa nimechaguliwa DIT electronics&telecom lakini mimi sikuichagua na wala siitaki kwa hiyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natumain ni wazma wote wana jf na kama wengne ni wagonjwa poleni..sina meng nahtaj kufahamu mambo mbalimbal kuhusu shule hii zkwepo garama zake kwa mwaka na mahtaji yake kama mwanafnz maana...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mdogo wangu kachaguliwa kwenda Shule ya wasichana Ashira, Nipo Mbeya nashindwa ni namna gani nitapata Joining instructions ili nimuandae. Wadau naombeni mnisaidie kama kuna namna.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Eeh
Naskia LOAN BOARD ONLINE inasumbua wengne tunaanza kesho process duhhh
0 Reactions
0 Replies
728 Views
Back
Top Bottom