Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Kuna tofauti gani kati ya Msomi na Mwanazuoni, na je, tunaposema wasomi toka chuo "X" huwa tunamaanisha maprofesa au ni wanafunzi wa hicho chuo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada kuhusu ajira katika sekta ya mifugo baada ya kuhitimu mafunzo
0 Reactions
0 Replies
845 Views
kama ni dision 3 , lakini nilipata E au F masomo yote ya sayansi , pamoja na hesabu ikwemo naweza kusoma ualiamu stashahada miaka mitatu?, Asante
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mimi ni mhtimu wa 4.mwaka 2013 na matokeo yangu ni div.4.32 na nimefeli chem kwa kupata E,na math F, Pia nimefaulu engl C,na kisw B,yaliyo baki yote D.Sasa naomba ushauri wako kuhusu kusoma chuo...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
raisi katika kujibu risala za wafanyakazi, kasema viwango vpya mwezi wa saba, sasa najiuliza je vitakuwa kama ilivodaiwa na wafanyakazi?
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Wanafunzi wa Kidato cha Nne, watafanya mitihani miwili ya Taifa mwaka huu, baada ya kuongezwa mtihani wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), ambao utatumika kuwapima walivyojiandaa na Mtihani wa Taifa...
0 Reactions
10 Replies
5K Views
namatokeo yake yako kama ifuatavyo:- phy -c,chem-d math-c kwa upande wa sayansi naalichagua chaguo la kwanza civ enger
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau wangu leo nina zawadi kubwa lakini naombeni mjibu maswali yafuatayo. (1) Nitajie jina la ndege ambae jina lake ukitoa herufi mbili za mwanzo unapata jina la samaki na ukitoa mbili za...
0 Reactions
14 Replies
19K Views
habari zenu wakuu, naomba wenye ujuzi na vyuo mbalimbali (vya binafsi na vya serikali), wanitajie vyuo bora katika fani ya Finance and Banking ngazi ya Diploma, Degree na Masters.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
NDUGU YANGU KAHITIMU KIDATO CHA IV NA TAYARI KAPATA MATOKEO YAKE JANA KWA ALAMA TATU ZA C, MBLI ZA D,MOJA E NA F MOJA KWA JUMLA YA ALAMA 35. SWALI KWA MWENYE KUJUA ALAMA ZA KUENDELEA KIDATO CHA 5...
0 Reactions
25 Replies
11K Views
Naitwa shaaban Haufi mhitimu wa kidato cha nne 2013(SHULE YA KATA),nikiwa bado O-Level,ndoto zangu ilikuwa kuhakikisha nasoma kwa bidii hadi nifaulu Kuendelea na masomo advance-university,hatimae...
0 Reactions
22 Replies
6K Views
Habarini wakuu, Nina E ya kemia na C ya biology A level natafuta chuo cha serikali cha afya. Please, naomba kusaidiwa: 1. Vyuo vipi hapa nchini vinanifaa? 2. Ada ya vyuo vya serikali ni sh.ngapi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Zanzibar is a Sovereighty State..."Discuss". Teachers, guide your students to answer that question..
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Ndugu zangu wanajamiiforum poleni na majukumu ya kulijenga Taifa. Naomba kujua sifa za kujiunga na mafunzo ya ualimu mwaka 2014/2015. Mbarikiwe :
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Tangu watoe ajira za walimu 2013/2014,kuna wahitimu wengi wa vyuo mbalimbali tumekosa ajira mfano mimi chuo chetu korogwe tupo stashahada takribani 195 tumekosa ajira,hatuwezi kuilazimisha...
0 Reactions
146 Replies
14K Views
Naomba msaada kwa hili hv ukimaliza kusoma hiyo kozi kwa mwaka mmoja je utaanza tena miaka miwili kwa ajili ya kusoma ualimu daraja A au utaingia moja kwa moja mwaka wa pili ili kusoma tena ualimu...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Mm nina. Mdogo wangu yuko chuo hicho anachukua clinical assistance mwaka wa pili na chet chake o-level kina ufahulu wa D ya biology tu. HIV ATAKUBARIWA KUFANYA MTIHAN WA MWISHO (NACTE )
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Mimi nipo Kigoma manispaa (kigoma ujiji) na nimwalimu wa sekondari yeyote yule kutoka Morogoro vijijini kuja Kigoma kama upo tayari naomba u-reply hapa tupeane mawasiliano. Asante.
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naomba mnifahamishe katika chuo cha uhasibu short courses ni zipi na ni muda gani?
0 Reactions
1 Replies
795 Views
Habari wakuu, Nimepata simu kutoka kwa rafiki yangu akinieleza kuwa mwanae anayetegemea kurisit ameshindwa kupata usajiri kwani kila akijaribu ku-add namba ya mtihani ya shule alyofanyia mtihani...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…