Mpaka sasa jinsi gani viwango vya ufaulu na madaraja yaani Div I mpaka 0 kwa mtihani wa kidato cha sita havijawekwa wazi. Wakuu kama kuna mwenye kujua atujuze tafadhali.
habari wana jf!!!!. mimi ni kijana wakitanzania niliyehitimu mafunzo ya kilimo ngazi ya cheti (general agriculture) na sasa nataka nisome diploma ya mifugo ila sijui ni vigezo gani nifuate ili...
Ni miezi kadha selikali imetoa ajira ya ualimu ILA cha kushangaza walimu wengi wameachwa wenye sifa je mwenye fununu wataajiriwa lini au tamisemi itatoa Tamko lini naomba mnijuze mlioko jikoni
No one doubt over importance of UDSM in biulding this nation,neither do I.Nowdays there are going stories around overt this university which some of them are true though many are exaggerated...
Jamani kwa matokeo haya naweza kuchaguliwa gvnt
History C
kiswahili C
English C
Geograph C
Civics B
Biology D
Chemistry E
Math F
naomben msaasa na kwa comb gani
Kuna success business plan that can make you earn up to 1.2 Millions in 90 days.
QUALIFICATION
Ambitious to succeed
Have a dream
Ready to work in a team
System presentation will be held by POWER...
Hongera sana ewe mwalimu mwenzangu ambaye umemaliziwa pesa yako ya kujikimu pamoja kupata mshahara wa mwezi april, hali ni tofauti sana na huku kwetu halmashauri ya wilaya ya SENGEREMA! Pesa ya...
Habari Mwanajamii???
Kama unazo au unamfahamu aliye na contacts [ phone number (s) ] za Afisa Elimu Sekondari- Wilaya ya Muheza, Tanga naomba unisaidie kadri uwezavyo nizipate kupitia PM (Private...
msaada wana jf nina mdogo wangu amemaliza 4m4 mwaka jana kapata div3 point 31 je anaweza kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tano kwa shule za serikali?
Ni watu wengi sana wemekuwa wakimlilia Mungu kuonyeshwa vitu ambavyo havionekani kwa macho ya kibinadamu. Lakini Mwenyezi Mungu amewanyima watu wengi sana hii 'Zawadi' kwa kuwa anajua wengi hawana...
Habari za mida hii wadau?
Ninaomba kwa anaejua ni lini wanaotaka kujiunga na ualimu wa shule za msingi wanatakiwa kujaza fomu za maombi ya kujiunga na vyuo vya serikali anijuze. Asanteni sana.
Bunda. Shule ya Msingi Kibara B, iliyoko wilayani Bunda mkoani Mara, imefungwa na wananchi kwa muda kutokana na watu wasiofahamika kujisaidia kwenye vyumba vya madarasa, hali inayohatarisha afya...
Hi all,
In the last week of December and the first week of January, I saw some socialites posting the list of books they read in 2013. Some did it via their blogs, some via their social media...
Wandugu naomba msaada wenu katika hili! Nimebishana na baadhi ya waalimu,wanadai kuna ngeli 8 za nomino ktk kiswahili.Kuna kamusi moja imetaja ngeli 12 za nomino ikiweo YA-YA,I-I na U-U ambazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.