Kesho tarehe 5/5/2014,wanafunzi wa Kidato cha Sita nchini wataanza mitihani yao ya Taifa ya kumaliza masomo ya Sekondari kwa ngazi hiyo. Nikitumai kuwa kila mwanafunzi alijiandaa kadiri ya uwezo...
Kutokana na boom kuchelewa , hali ya maisha imezidi kuwa ngumu mbaya huku ukiangalia idadi ya watu kubwa wanalalamika na kuishia kushindia mikate, hali hii inawafanya dada zetu even watafute...
wana udsm mnaoneje tuweze kuungana pamoja ili kudai haki zetu za misingi tukianza na BOOOM? ebu tuache uwoga banah kwani tusip
o angalia hati mae mpaka ------ yetu yatashikwa kiurainii!
Ninaomba mnipe details kuhusu skul hizi kwa kusoma a level"
[lugoba,bagamoyo,minaki,benjamini na mzumbe] kama unafaham chochote kati ya hzo skul naomba nijuze
Habari wandugu. Kutakua na training ya jinsi ya kutengeneza application za Android kwa siku tano pale Arusha Technical College kuanzia tar 12May 2014. Bei ni 80,000. Kwa reservation tuma sms...
Habari wakuu, kuna rafiki yangu wa kiume anataka aanze kusoma kama private candidate, makongo high school, sasa nauliza kama p.c huwa wanapata nafasi za kukaa bweni? Alishajisajili tiali ila...
Mpaka leo hatuoni jipya zaidi ya kushuhudia wahitimu wa sjut dodoma tu kupangiwa vituo vya kazi,sasa na sisi hatima ya ajira yetu ipi?jamani tamisemi muwe na huruma na watoto wa watanzania...
MWL (sekondari) natafuta mwl wa kubadilishana nae aliye MBEYA JIJI au TUKUYU aje KOROGWE MJINI,pia kwa wewe MWL ambaye unaishi mikoa ya kaskazini, korogwe ni sehemu nzur sana kufanyia kaz sababu...
Inasemekan boom litatoka kuanzia tarehe 12 mwezi wa tano,sasa hali ilivyokuwa ngumu hapa chuoni ukipita maeneo ya hall 2&5 utasikia watu wanasema njaaaaaa...njaaaa njaaaaa,ndio wimbo.tutaamkiana...
Mwalimu wetu wa kwaya alizimia baada ya kufunga(fasiting)masaa 120. Kufikishwa hospitali madaktari wanasema hajala na ana vidonda vya tumbo. Wameshauri madokta kuwa mtu akitanga ni vema akapimwa...
Habari zenu wa kubwa, mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza, nimeambiwa kunaissue ya ku-update mkopo from loan na kila nikijaribu kufanya nashindwa hivyo tafadhali nilikuwa naomba msaada wenu wa...
Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inatangaza nafazi za Mafunzo ya Ualimu ngazi ya Stashahada na Cheti kwa Mwaka wa Masomo 2014/2015.
Kuzidownload bofya link hizo hapo chini, ya kwanza ngazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.