Habari zenu wana JF,
Wale waliokua wanasubiri kuanza application za mkopo hii ndo time yao kuanzia april 16 2014 na mwisho wa kupokea maombi ni 30 june 2014
SOURCE :HESLB website
kwa jina naitwa shabani ni mwanafunzi nilie hitimu o-level mwaka 2013 na kupata matokeo yafuatayo PHYSICS-B ,CHEMISTRY-C ,BIOLOGY-B+ ,B/MATHS-B ,ENGLISH-B+ na C kwa masomo yaliyobaki. na kipindi...
Hii ni kozi inayotolewa kwenye shule ya biashara (Udbs) pale chuo kikuu cha dar sehemu ya mlimani VIP kama kuna mdau yeyote anaifaham vizuri kwa maana ya fursa na changamoto kwa mazingira ya...
wakubwa naomba kuuliza nimemaliza kidato cha nne mwaka jana na nimepata div 3 ya 30 naweza kupangiwa shule form 5
english B
kiswahili C
history D
physics D
chemistry D
biology C
mathematics E...
Salaaam wakuu(humu ndani kila mtu mkuu mmh hadi mwanafunzi wako )!! ......Basi bwana shule ipo kidigitali zaidi si tumekabidhiwa full mapowerpoint,macomputer mpakato(laptop) kila mwalimu na yake...
Kwa yeyote yule aliyegraduate PGDE Open university of Tanzania naomba anisaidie jinsi ya kuandika project au guidelines za kuandaa project coz hawa jamaa huwa hawatoi chochote wanasema tubuni...
Wapendwa nasikitika sana kuwa pamoja na kuweka zawadi ya pesa maprogrammer 36 walioshiriki katika Quiz hii wameshindwa kupata swali lile jepesi kabisa ok hii ni video ya jibu...
Open University Of Tanzania has been ranked as the best Open & Distance Learning (ODL) in Africa which offers "Quality Education" at affordable costs.
Come all, enjoy and get what you can't get...
Muda siyo mrefu nimeona Tangazo la Shule ya PERFECT VIRSION wakiangaza kuwa Eti ukiwa na 'D' 3 unaendelea na Kidato cha 5 . Hiyo nikutokana na Taarifa za mabadiliko katika Wizara ya Elimu...
Jaman wadau kuna mtu kapata div.zero kidato cha nne mwaka 2012 anataka kusoma veta so,kasema tumshauri akasome fani gani kama akipata hiyo nafasi ya kusoma veta.USIMTUKANE MPE USHAURI TU!
nasikitika kwamba baadhi ya wilaya hazijawapa walimu pesa ya kutosha za kujikimu walimu wapya licha ya kuwapeleka vijijin kusikokuwa na huduma za mhimu. Je wanaanzaje maisha walimu hawa kwa pesa...
Habari za jumapili humu ndani,nna shida ya jinsi ya kuelewa hiki kitu,nimejaribu kufanya test zilizopo online lakini napata score below average,na nnahitaji kuielewa kabla ya mwisho wa wiki ijayo...