Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

hatimaye mkuu mpya wa chuo cha saut mwanza aanza kazi baada ya fr. mgeni kujiuzulu,hyu nae ni fr. ametokea Jordan university ambayo ni branch ya saut,fr. kitima kaiacha pabaya sana saut mpka leo...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Jamani Naombeni msaada! Mwenye kujua link ya kufanyia ONLINE APPLICATION (ULR) vyuo vya UALIMU anisaidie Dada yenu siioni.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kwenu wakuu naomba ushauri wenu maana naweza nikaenda kichwakichwa bila kupata ushaur mwisho nikaangukia pua.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
wadau kuna tetesi eti ni lazima kila mwaka ua UPDATE MKOPO kwa wale waliopata ? kama ni ndio how can I do it. mi ni first year and sijui jinsi ya kufanya ivo so kwa anaejua tusaidiane
0 Reactions
0 Replies
741 Views
Wenzangu wana JF, Ninaelewa kwamba hakuna taifa lolote lililoendelea duniani pasipo kuimarika kwa elimu. Nimeyapitia kwa haraka haraka matokeo yaliyotangazwa jana na nimegundua matatizo ambayo ni...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Wakuu naona tiyar CAS ndo wameanzisha system ya kuomba nafas hizo kupitia wizara na NACTE na sio chuon tena kama ilvyokuwa kwa vyuo binafsi,application deadlines ni 30 may 2014
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wana jf? Nina shahada ya History (BA.History). Advance nmesoma HGK. Natafuta shule nifundishe history, pia naweza fundisha geography. Atakaenihitaji tuwasiliane 0765201963.
0 Reactions
0 Replies
925 Views
Mimi mwalimu wa sekondari. Nimeajiriwa mwaka huu wilayani TARIME. Natafuta mwalimu wa kubadilishana naye ili nihamie wilayani BUNDA. Naombeni msaada jamani...!
0 Reactions
1 Replies
865 Views
Matokeo ya wanafunzi waliofanya mitihani ya bodi ya ugavi stage iv (PSPTB) mwaka jana mwezi wa 11 yapo mtandaoni! Cha kushangaza ni kwamba kwa mara nyingine wanafunzi waliohitimu kutoka chuo kikuu...
0 Reactions
12 Replies
6K Views
Nahitaji msaada wenu jamani hivi nikisoma EGM,Labda naweza kufanya nini hapo baadae?hususani kama nikifaulu mtihani wa kidato cha sita
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jamani mi naomba mnisaidie,hivi nikisoma egm nakua niko science au art?
1 Reactions
19 Replies
7K Views
habari wana jf?? naomba msaada kwa yeyote anayefahamu deadline ya postgraduate applications za UDOM kwa mwaka wa 2014/2015 anifahamishe please.
0 Reactions
1 Replies
596 Views
Wanajamii forum naomba msaada. me nimemaliza kidato cha mwaka jana na nipata division three ya point 25 je naweza kuchaguliwa kujiunga na kidato cha tana? Madaraja niliyo yapata ni kama ifuatavyo...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
wakuu naomba mnijuze eti vyuo binafsi vya afya nako kuna ushindani wa kupata nafasi maana kuna mtu ana bios c chem c na phy d math f english d masomo mengine yote d anataka asome diploma ya...
0 Reactions
2 Replies
987 Views
Wadau ni website gani naweza ku-download bure kitabu cha ''field virology, 6th edition'' PLS MSAADA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa katika tangazo lao wamesema waweza apply on line pia na wakasema form ziko katka website za wizara na nacte bt nimejarb kuangalia czion ni mimi tu au wote?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nina ndugu yangu amepata dvsion four ya 32 ana biology~c,english~B, mesomo mengine yote D je anaweza kwenda kidato cha tano au aaply chuo??
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Je unapo fanya application za vyuo TCU nivyeti gani vya muhimu vya kuambatanisha. Naombeni tusaidiane wadau.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kwa wale wapenzi wa kipindi cha Skonga cha channel 5 huyu jamaa anaejiita raisi wa wanafunzi amepata shavu Kenya. Bado sijajua n channel gani.
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…