Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Tafadhal walimu Wazoefu 2ngependa kujua mfuko bora wa peshen kwa cc walimu? na je ni upi ulio bora zaidi kati ya PSPF & LAPF, Plz msaada tafadhal
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu nimefka kwenye halmashauri niliyopangiwa kwa ajili ya kuanza kazi(njombe),lakini pesa ya kujikimu imetolewa nusu. KWA SHAHADA TSH-45000@siku, HALMASHAURI imetoa pesa ya siku 3 badala ya...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kila mwaka kumekuwa na skendo nyingi juu ya kuombwa au kuandaliwa mazingira ya kutoa rushwa. Katika maeneo mengi wasichana (wanawake) wamekuwa wakiwekewa mazingira ya rushwa ya ngono, kwa waanaume...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Yeyote anyeijua awasiliane nasi kwa namba 0757488976, au 0684478289, ni waaalimu wenye degree na diploma ya chemistry na biology. uzoefu miaka miwili.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ndugu zangu wana jf hasa walioko sekta ya Elimu ninakumbuka kuna wanaharakati walitaka kuanzisha chama cha walimu kitakacho simamia maslahi ya walimu sawa na ilivyo kuwa CWT ya mwanzo kwani sasa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari wana-education kuna kijana ameniomba nimpe msaada wa kumwezesha kurudia mtihani wake wa o level baada ya kupata matokeo yasiyomridhisha, hivyo nauliza kama mpaka sasa utaratibu wa kujiunga...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Wakuu naombeni mnijuze fom six wanaanza mitihan tarehe ngap mwez wa ngap?
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa anayejua tafadhal naomba anijuze ili nianze kufanya michakato na mapemaa
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tayar nimeshafika hapa katika ofisi za halmashaur.nipo karibu kabisa na ofisi za idara ya ELimu.mimi si mwalimu mpya laa hasha mimi huu ni mwaka wangu wa tatu kazini.lengo la kuja hapa ni kupokea...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna walimu wapya wamebadilishiwa vituo vya kuripoti. Tazama jina lako:
0 Reactions
9 Replies
12K Views
Kwanza hongereni kwa kupata ajira najua ni mwanzo mpya wenye baraka na utajiri mliokusudiwa na Mungu nyinyi ni viungo tegemezi kwa kila aliyefanikiwa na pasipo mwalimu hakuna aliyeweza kuitwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wakuu ninatarajia kujiunga na chuo kikuu mwaka huu na ninapendelea kusoma katika chuo hiki kampasi ya mwanza kwa koz ya BBA lakin nilikuwa nataka nijie kuhusiana na ubora wa elimu inayotolewa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
jamani kuna mtu kaniambia kuwa eti mbali na walimu wa shahada serikal pia haijaajiri walimu wote wa cheti na diploma.kama ni kweli naomba kujua?..
0 Reactions
8 Replies
2K Views
mimi nina mtoto wa mjomba wangu ambae yupo kidato cha pili,alikuwa anaishi na mama mkubwa baada ya wazazi wote kufariki,sasa mama mkubwa mwezi wa pili alienda shuleni kwao na kuwaambia mtoto ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mimi ni mwl ajira mpya,naomba ushauri wa jinsi ya kujiendeleza ikiwa nna credt 3 nataman kufika mbal zaid kabla majukum ya kifamilia hayanitinga.
0 Reactions
9 Replies
7K Views
NVITATION FOR SPONSORSHIP TO TRAIN PILOTS. The Tanzania Civil Aviation Authority (the Authority) was established on 1 November 2003 as a corporate body, pursuant to the Civil Aviation Act, Cap...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Hatimae mwalimu mpya nishafika kwenye kituo changu cha kazi kwimba duu maendeleo f kijijini mbaya lakini ndio kazi eeh mungu nisaidie.
1 Reactions
105 Replies
7K Views
People will you please help me in sharing your experiences on the private universities for arts Degree courses. I want to enroll my niece on one of them for the next academic year.
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Nawatakieni kila la kheri walimu wenzangu ambao mnaanza kuripoti kesho.Tutaonana hukohuko endapo TAMISEMI watatufikiria awamu ya pili.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mi ni kijana wa kidato cha 6, nmekuwa na hamu sana ya kujiunga na chuo kikuu cha dodoma, lakini kila nnaemwambia hilo hunibeza na kusema eti udom si chuo cha kwenda. Ninachotaka kufahamu ni...
0 Reactions
47 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…