Je wewe ni mwanafunzi wa level yoyote (Sekondari, Chuo n.k) na unahitaji ushauri kuhusu Combination/course gani ya kuchukua/kusomea/ chuo gani cha kusoma ndani na nje ya nchi? usisite wasiliana...
HABARI WANAJAMVI wakati nikipitiapitia sera ya taifa upande wa elimu nikaingia hadi kwenye mitaala ili kuandaa ujuzi wa mambo tofauti kwa ajili ya kuja andika makala baadae.sa cha kushangaza...
Habari zilizotufikia toka IFM- Dar es salaam ni kwamba mwanafunzi mmoja ambaye bado hatujafanikiwa kulipata jina lake amefariki dunia kwa kulishwa sumu katika chakula...
Kwanza nichukue fursa hii kukupongeza kwa kuteuliwa kuwa mkuu wa shule wa shule ya sekondari Dunda iliyopo mjini Bagamoyo.Ila changamoto kubwa uliyonayo mbeleni katika uongozi wa shule ya...
Wanajamvi nimatumaini yangu kuwa ni wazima,Naomba kujuzwa kati ya Bachelor of art in economics, Bachelor of arts in Information Technology na Bachelor of Irrigation and water resource engineering...
Nina mdogo wangu kamaliza form four na kapata ziro kipindi chote nilichokaa nae nimejaribu kumchunguza hana kitu kabisa kichwani hadi nimekubali kuwa ziro aliyopata inamstahili kabisa sasa kituko...
Imezoeleka kuwa waalimu wa kiume ndiyo huwapachika wanafunzi wa kike mimba,lakini hali imekuwa tofauti kwa mwalimu huyu (jina limehifadhiwa)wa shule ya secondary Mwakibete hapa jijini Mbeya.huyu...
Ningependa kupata ushauri kwa wenye watoto kwenye shule hizi.Kiafya,kisaikolojia na kiakili
Nitaongelea kuhusu
a)Muda wa shule (b)Muda wa kupumzika(c)Home works (d)Weekend works(Holiday...
Nimepewa swali binafsi hapa chuoni linlotaka niandike insha isiyopungua kurasa mbili kuhusu ushairi wa kiswahili,tafadhari naomba ushirikiano na email yangu ni ntakilowakumulaga@gmail.com
nauliza ivi, kna walimu wapya wa shahada amepangw vituo vya kaz na wanasap kwenye masomo yao vip inakuaje wakati wanaripoti? Naomba kujua kwa mwenye ufahamu wa hili.
nilifanya maombi ya scholarship nchini japan npo katika hatua nzuri ya kuweza kupata sasa kama kuna mtu amewahi kupata hzi scholarship anipe ABC ZA maisha nchini japan.
taarifa niliyonayo ni kwamba chuo kikuu cha kumbukumbu ya sebastiani kolowa(sekomu), wamepandisha pesa ya usajili wa course ili kusajiliwa kwa ajili ya kuanza muhula, yaani semester kutoka...