Wakuu nina mdogo wangu. Naamini na nyie mna wadogo au ndugu zenu. Amemaliza form four mwaka jana.. Amepata div III point 28 alisoma arts. Naulizia vyuo na kozi nzuri anayoweza kusoma koz kwenda...
Tare he 11. 02. 2014 usaili
ulifanyika kwa
walioomba scholarship za tgcl.
Chakushangaza ni mda mchache
uliotumika
kwa Kila mtu kuhojiwa, yani dk5
tu. Maswali
ya kujiuliza ni: je huu usaili...
Wakuu napenda kufahamisha tcu huwa wanaanza kupokea maombi ya application kwa ajili ya kujiunga na vyuo kuanzia mwezi gani?
Pia utaratibu wa kutuma unakuwaje kati ua chuo ulichoomba, tcu na bodi...
kada wa ccm;a.k.a mkuu wa wilaya ya mkuranga ndugu mess tarehe 12,3,2014 aliwaita walimu wa sekondari pamoja na shule za msingi ili kujadili kero zao na kutatua kero hizo,moja ya kero za walimu wa...
Hayawi hayawi jana jioni mgodi ulicheua na wengine waliokota dhahabu na wengine mawe ya kujengea,wengine walijeruhiwa na mlipuko,ndio maisha ya kusoma.Sap ni siri ya mtu ila kwa ujumla mambo ndo hayo.
Habari members wote kuna tangazo huwa linatangaza kuhusu chuo cha kilimo na mifugo kilichopo bagamoyo kuwa kinatoa mafunzo hay je diploma wanatoa na ada ni kiasi gani? Naombeni mnijuze
Katika hali ya kushangaza Afisaelimu ya Sekondari wa wilaya ya Itilima mkoani Simiyu amewaambia Wakuu wa Shule wapatao kumi waliohamishwa kutoka shule moja kwenda shule nyingine kuwa hawatalipwa...
Report from Georgetown centre on education and the workforce examined salary and unemployment data relating to experienced college graduate degree holders. The following are the 10 useless...
Jamani wana Jf kuna hatua gani za kufanya ili kupata scholarship,na je ni vigezo gani vinavyozingatiwa haswa.Na mwisho ni chi gani nzuri zaidi kitaaluma kwa upande wa universities ktk Afrika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.