Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habarini wote, Nilianza kazi 2008 katika sekondari wilaya ya BAGAMOYO huko PWANI, na nikafanya kazi miaka4. Mwaka 2011May, nikaomba chuo kikuu na mwezi wa7 nikapata barua ya kuhama ndani ya...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Mshahara wake ni shing ngapi???
0 Reactions
80 Replies
9K Views
Uzalendo huwa hauzuki from nowhere. Uzalendo hutengenezwa. Ona Hii sasa! It could well be an Onion story. According to various media reports, all university men in North Korea will now have to...
0 Reactions
0 Replies
853 Views
Kwa yeyote anaefaham chuo knachotoa kozi hiyo ya health record management kwa ngazi ya certificate na diploma anijuze
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani eti ni kweli na wale non graduants wenye mataizo ya carry au supplementary nao huwa wamo katika ajira za serikali? Please share your experience.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Maelfu ya watoto nchini Uingereza na Wales, wanakabiliwa na tisho la kukosa elimu huku walimu wao wakigoma. Walimu hao wanagoma wakitaka nyongeza ya mishahara, malipo mazuri ya uzeeni na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba mwenye uelewa wa sifa za watakaojiunga na kidato cha tano kwa matokeo yaliyotoka. Mfano mtu ana division IV lakini kwenye combination ana BCC anaweza kuchaguliwa?
0 Reactions
15 Replies
7K Views
TRAINING!! TRAINING!! TRAINING!! NEW LEMIS COMPLIANCE LIMITED HIGH QUALITY SERVICE TO MEET AND/OR EXCEED CUSTOMER EXPECTATION The New Lemis Compliance Ltd deals with Consultancy service and...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
si kila aliyesoma ualimu na kuhitimu toka chuo chochote iwe cha serikali ama private ana uwezo wa kufundisha akaeleweka, sasa hapa wote waliofauru wameajiliwa bila mchujo wakupata wanaoeleweka...
0 Reactions
29 Replies
4K Views
TAARIFA KWA WALIMU WAPYA KABLA YA KURIPOTI KWENYE VITUO VYAO VIPYA VYA KAZI. Ndugu wadau wa taaluma hii ya ualimu kwanza nipende kutoa pongezi kwa wale wote ambao wameweza kupangiwa vituo vyao...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
habar wapendwa, mmi nina dploma ya journalism nataka kubadil koz hii ni koz gan ambazo naweza chua kutokana na fani yang? Naombe msaada wa hlo na jins ya kuapplay
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wapunguziwe mishahara wakifelisha wanafunzi :thumbup:
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Natafuta mwalimu tutakaye badilishana naye aye wilaya ya ROMBO,me niende wilaya ya HAI Tuwasiliane wandugu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari za usiku walimu wenzangu,kwanza kabla ya yote napenda kumshuru mungu na serikali kwa ujumla kwa kufanikisha swala la ajira 2014,kinachoniumiza kichwa nimepangwa sehemu ambayo sijawahi hata...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
MWL YUKO MBOZI MBEYA IDALA SEKONDARI ANATAFUTA MWL WA KUBADILISHANA ALIYE DAR,CHALINZE NA MBALIZI,aliye tayari wasiliana Cont;-0766335128
0 Reactions
0 Replies
795 Views
habari zenu wapendwa naomba msaada wa kunitumia vitabu / topic za advance form five kwa combination ya, hkl . email yangu ni . nguvumalimedson@gmail.com natanguliza shukran ... nikitumain kupata...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
habari zenu jamani.tafadhari kwa wale walimu wazoefu kazini.naomba mnijuze kama ni lazima kufungua bank account tawi la nmb na vipi ukifungua tawi lingine tofauti na Nmb huwa hawakubali kwa sisi...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wana jf poleni na mihangaiko na siku nzima ya leo. Naomba kuuliza mwenye ufahamu wa gharama ya postgraduate ya ualimu ni kiasi gani serikalini.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani hivi subsistence allowance ya walimu wa Grade A wanaoenda kuripoti tarehe moja ni Tsh ngapi kwa siku?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom