Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hongera zimwendee Baraka Minja ambaye katika mitihani ya IGCSE mwaka 2012/13 alikuwa wa kwanza duniani katika somo la Fizikia (Physics). Huyu ni kijana mwenye uwezo mkubwa kiakili kwani katika...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Samahanini!!! Nina dada yangu ana D ya kiswahili D ya Geography na B ya English. Anahitaji chuo kinachohitaji pass 3 na kitoacho course za human resources au procurement n supply
0 Reactions
22 Replies
9K Views
Habari zenu,.naomba mnisaidie kuhusu hichi chuo cha mzumbe... kwa anaetaka kuanza certificate na katokea form four wanachukua vipi?!,mfano TIA wenyewe ukiwa na D 4 unasoma. hapo vipi,?msaada tafadhali
0 Reactions
13 Replies
6K Views
salam ziwafikie wote popote mlipo. nina dogo kapata dvn iv ya 33 ila ana "c".je ataweza kuchaguliwa kujiunga na a-level?
0 Reactions
1 Replies
999 Views
Wakuu napenda kuelekezwa ni namna gani ya kutuma maombi tcu ili kuweza pata chuo pamoja na mkopo. nina diploma ya mechanical engineering na napenda kuwa mwl. ktk masomo ya science coz nina gpa ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habar zenu wanajamii forum? nahtaji msaada kwa anayekifahamu hiko chuo cha ardhi cha private nahtaji kujiunga kwa ngaz ya chet mwaka huu anipe angalau hata detailz zake kuhusu ada, mazngira na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello Friends, I hope that y'all fine, and are all going very well. I thought it a good idea to share this with you as I believe some of you with required qualification, or your friends with...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza Mzumbe, kama mjuavyo chuoni kuna presentation za hapa na pale. Tatizo linalonikabili ni kushindwa kabisa kuongea ninapofika pale mbele ya darasa, nasika...
0 Reactions
54 Replies
8K Views
Wadau msaada kdg hapa, nilikwa nauliza kama chuo cha mvumi kimesajiliwa usajili wa kudumu au hapana Maana nataka niapply hapo mwez wa 7
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana jamvi napenda kujua ni shule gani ambayo imetoa wasomi weng sana kuliko shule nyingne, kuna tetesi kuwa eti ni mzumbe na tabora boys je kweli'? Naomba msaada wadau
1 Reactions
53 Replies
7K Views
wanajamvi naomba nisaidiwe kujuzwa vyuo vya ualimu vya kujilipia tafadhali.Maana sjui hata nianzie wap kwa sababu sivijui..nisaidieni!!
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba msaada kwa anayefahamu anaisaidie nipate nafasi chuo cha afya cha serikali, maana nimeomba mpka nimechoka wizara ya afya lakini cpati nafasi na nina Credit 4 na pass 5 Sina F hata moja na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nasubir mpaka naona niulize jaman! mwenyekuju hil msaada wako ndio posho yangu
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Msaaaaaada jamani
0 Reactions
3 Replies
811 Views
Try your chance Fulbright JSDP Scholarship for Tanzanians in US 2015-2016
1 Reactions
0 Replies
655 Views
Wana jf nina 2.21nimejaza dit kwenye cell4m ntachaguliwa kweli au nianze kupiga tuition kwaajili ya advance
0 Reactions
38 Replies
4K Views
HABARI JAMANI NAOMBENI MSAADA WEB AMBAYO NAWAZA KUKIPATA KITABU HIKI ​broadcasting technology and radio technology BUREEE!!
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Wakuu msaada tafadhal, nataka kujua kama hii kozi ya laboratory assistant kama inalipa au la, upatkanaj wa kaz na vp kuhusu mishahara yao kwa mtu mwenye diploma
0 Reactions
0 Replies
3K Views
So what does it take to become a teacher?
0 Reactions
2 Replies
738 Views
Back
Top Bottom