Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Hi wadau, Natamani kujiunga na special course ya ualimu wa disabled people ambayo ni special needs.Sasa Vipi kuhusu vigezo kwa wale walimu wazoefu na ajira zake Vipi pia, Tubonge live
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Mada yajieleza.Naomba kufahamu kati ya kozi hizo:accountancy na procurement yenye kulipa zaidi kwa misingi ya mazingira kazi yenye kutoa mwanya wa kutengeneza pesa zaidi ya nyingine.Kalibuni.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
???
jamani kuna mtu kaniambia kuwa eti mbali na walimu wa shahada serikal pia haijaajiri walimu wote wa cheti na diploma.kama ni kweli naomba kujua?..
0 Reactions
1 Replies
670 Views
Salaam Wana jukwaa, Mie Mwl.John Power nimepangwa shule moja ya sekondari mkoani dodoma sehemu inaitwa MVUMI..kama una info zozote kuhusu mazingira,watu,biashara,maji,umeme n.k naomba ufunguke...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba mnisaidie, Nataka kujua post za fiv 2013 zinatoka lini!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari za leo wana jukwaa, nahitaji kufahamu chuo kilichopo mjini arusha kinachofindisha kozi za jioni baada ya kazi Kwan bachelor degree ya economics, kuhusu matokeo ya kidato cha Sita hakuna shaka
0 Reactions
2 Replies
2K Views
mkuu wa shule ya sekondary igoma iliyoko jijini mwanza bwana bregrey j. nyakyuma hana sifa za kuongoza shule. hii imethibitika wazi kutoka kwa watu wake anaowaongoja. imesemekana kuwa mkuu huyu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
samahani naomba mnisaidie kunijibu swali langu.ivi kupata kaz pccb unatakiwa uwe umesoma corse gani chuo na ni masomo gani ya elimu ya A-leval uwe umesoma na mshahara wao ni kiasi gani na kama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Smahann wanajf nmemalza form4 nataka niapply dit ss cjui facaulty nzur kwa v2 vyote kwa ujuml ni ip
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wakuu naomba kujuzwa kuhusu nadharia ya big bang inavyoeleza kuhusu kuundwa kwa ulimwengu.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Mi nimehitim chuo miaka miwili iliyopita nikiwa na degree moja katika social science. Baada ya kutafta ajira mda mref bila mafanikio nimepata wazo la kusoma masters. Lengo langu ni kubadilisha...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Chuo gan nikizur zaid kat ya hvy vwil
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Mtu mwenye MBA-FINACE anaanza na 'level' gani katika mitihani ya bodi ya uhasibu NBAA?Naomba ufafanuzi.
0 Reactions
0 Replies
927 Views
Period of general economic decline defined as a contraction in GDP for over six months characterized by; • High unemployment • Stagnant wages • Fall in retail prices NB: Recession does not...
0 Reactions
0 Replies
512 Views
Wakuu natumai mko good! Wakuu hiki chuo cha Afya sikielewi kuhusiana na vigezo vya kujiunga na Diploma kwa passmark za O-level . Wengi tunajua kuwa 0- level kujiunga...
0 Reactions
14 Replies
15K Views
Mwanafunzi wa miaka 11, darasa lasita apewa mimba na mtuhumiwa mwanfunzi wa sec lkn ajakamatwa bado anadunda mtahaan!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nikiwa miongoni mwa walimu wapya katka safari za kwenda kuripoti kwa wakurugenzi,nimekumbana na kikwazo cha usafiri. Basi la OSAKA kutoka DAR-BUKOBA ni majanga kwani wanapima hadi majaketi abiria...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
mkuu wa shule ya sekondary igoma iliyoko jijini mwanza anaejulikana kwa jina la BREGREY J. NYAKYUMA amechukua jukumu la kwenda kumshitaki mwalimu kwa mwajiri na hatimaye mwalimu huyo kukatiwa...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Anayejua naomba anjuze tafadhal
0 Reactions
1 Replies
1K Views
An eight-year-old child has been pulled out ofa Christian school after being told she is too much like a boy and needs to understand that. 'God made her female'. The child was taken out of...
0 Reactions
1 Replies
893 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…