Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Jamani nilkua naomba kufahamishwa gharama za kusoma CERTFICATE kwa mwaka
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Februari mwaka huu, Baraza la Mitihani Tanzania (Necta), lilitangaza matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013. Katika matokeo hayo, wanafunzi 151,187 walipata daraja sifuri, sawa na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mim n mwalimu wa grade A ngazi ya chet halafu sina credit tatu.Hivyo nkitaka kujua njia bora ya kujiendelaza kielimu kutafuta credit kwanza? Au kuna njia bora tofauti na hyo naomben msaada wenu...
0 Reactions
32 Replies
14K Views
Habarini wana jf, naomba mawazo yenu ya khari na mali kuhusu changamoto hii ya ombi la pasipoti, kwani dhumuni langu la kuomba pasipoti ni kujisajiri katika international english language testing...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
habali wandugu, niwapi?, naweza kupata huduma ya kufundishiliwa mwanangu masomo ya ziada hasa kipindi hiki cha sikukuu ya pasaka ambapo amekuja kwa mapumuziko na iwe ni mazingira mwanza mjini at...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF naomba munisaidie , nina mdogo wangu anataka kusoma mambo ya FINANCE sasa anajaribu kudodosa ni chuo kip kizuri yaan baab kubwa kwa cozi za FINANCE ? me nmemwambia ajarib IFM
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mafahali wawili wakigombana.............. takribani wiki moja imeshapita tokea ajira za walimu zitangazwe,na kilichotokea ni kutokupangiwa vituo vya kazi kwa wahitimu wa St john-Dodoma...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hapa ndipo mishahara hewa inapoanzia. Nchi yetu bado sana hii. jamaa ana shahada ya ualimu, baada ya ajira kutoka imeonekana kuwa jina lake lipo zaid ya mara moja ikiwa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini Serikali inalazimisha Wanafunzi wavae Sare za Shule ambazo zinauzwa na huku ikijua wazi kwamba Wananchi wake wengi hawana hata pesa ya kununua Chakula, sembuse ya...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
May you help me this question Describe the link between public administration and development management.
0 Reactions
3 Replies
770 Views
Wadau poleni sana na kazi. Mi natafuta shule ya kusoma iwe private au govement nzuli yenye kombi ya egm. Kama zipo naomba unijulishe na kama ni za prvte naomba unielekeze japo sehemu ya kuzipata...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kuna tabia ya baadhi ya hwa mascholar wa universities kudharau vyuo vingne na kusifu wanavyosoma kuwa ndo bora hii tabia inakera sana.kma na wewe mwana jf unakereka hebu wape neno la kuwarekebisha...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni kipi kati ya marketing au account kina mvuto zaidi katika soko la ajira la sasa na hata kujiajili hasa ukizingatia mtu anayesoma Masters in Busness Administration na kutaka kufanya option kati...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
hiv kulingana na grade za matokeo ya mwaka huu,je nisifa gan wanazohitaji au mwisho div4 ya ngap kujiunga na na hvyo vyuo vya ualim wa primary either govt or private
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Thank God nimebahatika ajira mpya simanjiro mkoa wa manyara level ya shahada jee nastahili kupata kiasi gani subsistance allowance na lini zitapatikana? Na pls mwenye kujua nauli kutoka arusha...
0 Reactions
33 Replies
8K Views
Chuo cha taifa cha usafirishaji, ni moja kati ya vyuo vikongwe hapa TANZANIA ambavyo serikali ‘imeamua' kukipiga chini katika uboreshwaji wake! Ndugu wadau, chuo cha taifa cha...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
How to share Education Issue on Facebook????
1 Reactions
1 Replies
899 Views
Hv nivigezo gani wanavyo 2mia kutoa pesa ya likizo kila baada ya miaka miwili? na wana2mia vigezo vp ili kujua ww unatokea mahali fulani? Vp pia kuhusiana na swala la nauli? plz msaada wenu wadau
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi ni mwajiriwa mpya wa ajira za ualimu (Idara ya Sekondari). Hapa tayari nimepata mtu wa kubadilishana nae halmashauri za kufanyia kazi. Naombeni ushauri wadau, tunapaswa kufanya nini sasa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
tafadhari jaman naomba mnijuze utaratibu wa kusoma open university degree ya pili na Ada yake ni kiasi gani na unasoma kwa muda gani.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…