Ni mwanamke ninayempenda sana na nishapeleka kishika uchumba kwao,tatizo ni kuwa yeye kapangwa wilaya ya KAHAMA,mi nimepangwa wilaya ya NJOMBE,mwenye ushauri anishauri nifanye nini ili tuwe...
WANA JAMIIFORUM......
NAPENDA KUWAJULISHA KUWA TUNAPANGA KUTOA COURSE FUPI ON BODY LANGUAGE.
WEWE KAMA NI MWALIMU/LECTURER, MWANA MUZIKI, MFANYABIASHARA, MWANASIASA, AU MTU AWAE YOTE NI MUHIMU...
jamani kuna rafiki yangu mmoja anataka kujiunga na vyuo vya kilimo kakini hajui jinsi ya kuweza kufanya hvyo pamoja na qualification vyuo vya serikali msaada jaman <thanx>
Please wadau wale walioishi, kusoma au uzoefu na hizi nchi mbili India and Malaysia naombwa kujuzwa kuhusu vyou vizuri i mean vinavyotambulika kwa course ya udactari wa medicine na cha bei ya...
Jamani wana JF, ninataka kuweka malengo ninasoma Bachelor of Education BEd nimewaza kusoma MA in International relation ina market kwenye soko laAjira?
Jamani hivi mzumbe wanaona sisi huku Arusha hatuwezi soma hivyo vyuo vyao...tunahitaji masters za evening hapa Arusha jamani tunateseka na project management...kwa nini hawafungui tawi bwana
Naishangaa serikali yetu inakemea udini huku ikishindwa kuonyesha kwa vitendo, Morogoro university ni chuo cha waislamu kama vilivyo vyuo vya wakristo kama vile SAUT,TUMAIN,JORDAN,ST.JOHN,IRINGA...
Habar yenu wakuu humu jf nakuja na kuulza kwa wazoefu na vyuo vya techniqual college kama mist, na dit hv n kwel huwa wanarudisha wanafunzi nyumbani na n kwa mambo gan yanayosababisha hlo?
wadau
katika sehemu nilizokuwa sifikiri kufanya kazi wala moyoni mwangu
hakumo ni ukerewe. Hatimaye leo nimepangiwa niende huko. All in all only
God knows it.
Maendeleo ya nchi na jamii yeyote hutegemeana na kipaumbele katika taaluma ya ualimu. Hu ni ukweli usiokubalika kwa nchi nyingi za kiafrika lakini kwa nchi zilizo endelea kama Marekani na...
Napenda kutoa taarifa hii kwa TAMISEMI kwamba mpaka wakati hatujui kwanini majina yetu hayaonekani kwenye orodha, au kuna mengine bado hayajatolewa?wadau mwenye inf. naomba atujuze humu jf.
Leo nimemshangaa jamaa mmoja tukiwa kwenye dalalada la ubungo gongo la mboto kavua shati la rangi ya kijani kwa madai kwamba anaogopa kupigwa na wapinzani wa ccm kwakuwa kavaa rangi ya kijani kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.