nina mdogo wangu ambaye kahitimu kidato cha nne mwaka jana na alikuwa anasoma masomo ya art kapata kama ifuatavyo kiwahili C biosD history D geography D english D civics E mathe F anaweza akaenda...
Potato farmers peel off brokers as new pact puts more money into their hands
At the heartland of Nyandarua County, an old building is changing the fortunes of thousands of farmers from Meru...
Habari zenu wapendwa!!....... Kama mnavyoona tetesi zilivyonyingi kuhusu ajira za walimu mwaka huu,ni mwendo wa danadana tu na kupigwa karenda ila hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho,subira...
Kama ID yako ni ya semister moja,hutaruhusiwa kusign boom mpaka ulipe portion ya ada yako unayodaiwa na utengenezewe ID ya semister ya pili.mtaarifu na mwenzio uonapo ujumbe huu..source ni me...
Nimeanza kuamini msemo wa rafiki yangu kuwa mtu anayesomea Ualimu anatakiwa awe na wito kweli. Leo asubuhi nafungua TV nakutana na habari eti walimu Kagera wanaomba serikali iwapeleke JKT walimu...
AS A STUDENT AT MURDOCH UNIVERSITY IN DUBAI(AUSTRALIAN UNIVERSITY IN DUBAI)
NAPENDA KUWAKARIBISHA WOTE WENYE NIA YA KUJIUNGA NA CHUO CHA MURDOCH UNIVERSITY
IN DUBAI KILICHOPO ACADEMIC CITY IN...
Habari za humu jaman,Ninaomba msaada kwa anayejua vyuo vya serikali vinavyotoa diproma ya crinical officer anijuze tafadhar....kuhusu ufahulu nimemaliza form six nina two ya 12 CBG ila nina F ya...
Habari wana jamvi.
Ningependa kueleweshwa kwa mtu yeyote aliyewahi kuitwa kwenye interview kwenye chuo cha Mwalim Nyerere Memorial Academy-Kigamboni.
Kama kuna form yoyote ya kulipia na...
Kuna mtu amepata vyuo viwili kimoja US kingine UK...vyuo hivi havijatofautiana sana kweenye global ranking ya ubora.
Tofauti kubwa ni kuwa US ni miaka2 wakati UK ni mwaka mmoja pamoja na...
habari wakuu,nina mdogo wangu kapata haya matokeo nataka nimpeleke upolisi pia sababu na yeye anaupenda,sasa anaweza pata nafasi?,na nianzie wapi sababu sijajua pa kuanzia.?
Wadau tuxaidiane hapa,natafuta chuo cha private kinachotoa koz ya clinical medicine ambacho kitaanza masomo mwez wa april kwa ngaz ya certificate na diploma
Nahitaji kujua shule za a level sayansi esp PCB au PCM nataka tumpeleke mdogo wangu preform v na hata ikiwezekana aendelee huko,nikipata hizo list niangalie ambayo wanafundisha vizuri na mfuko...
Hii ni barabara iendayo Shule ya Secondary Ndumbwe ambayo niya kutwa iliyopo Mkoani MTWARA halmashauli ya MTWARA VIJIJINI, imekuwa nikelo kubwa kwa watu wapitao barabara hiyo hasa walimu na...
Tanzania ni nchi yetu,swala la elimu lanzima tulipiganie wote,kila mtu kwa nafasi yake lanzima ajitaidi kufanya awezacho ili elimu yetu isonge mbele.Kwa sasa kinachofanyika ni kulaumu tu badala ya...
Kitendo cha website ya open university kutokufanya kazi vizuri ni cha aibu sana, ni zaidi ya miezi minne sasa website hii inasumbua sana. ikumbukwe kuwa open university ina wanafunzi ulimwengu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.