Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Dodoma. Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa ameelezea kukerwa na daraja la tano katika muundo mpya wa kupanga matokeo, kuitwa sifuri. Dk. Shukuru Kawambwa, aliyasema hayo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
matokeo yangu ni haya hapa ,ushauri wako ni muhimu bila ya kubeza. CIV - 'B' HIST - 'D' GEO - 'C' E/D/ KIISLAMU - 'B+' F.ART - 'B' KISW - 'C' ENGL - 'B+' ARABIC...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Wadau, Nimesoma QT, na matokeo ya form four ndio hayo nmepata D2 na C 1 hivyo nina div 4 y points 40، je kwa matokeo hayo naweza kusoma chuo gani? Msaada tafadhali.
0 Reactions
13 Replies
3K Views
ELIMU MAALUMU:SHAHADA 1.SEKOMU(LUSHOTO, TANGA) 2.UDOMU(DODOMA). ELIMU KWA UJUMLA 1.UDSM 2.SAUT SOURCE:www.weekly.elimubongo.tz
0 Reactions
14 Replies
11K Views
Summary KCSE Results 2013 - Top candidates: Kingori Tom Wanderi (Alliance), Aloo Shem (Maranda), Kivuva Angela (Moi High), Borus Norah Chelangat (Precious B) - Top schools; 1. Alliance High...
0 Reactions
0 Replies
12K Views
Naibu wazir mpya aliyeteuliwa leo hii mh jenista mhagama ana diploma hii ni kwa mujibu wa cv yake bungeni halafu anaongoza wizara ya elimu ni sawa na akili ndogo kutawala akili kubwa. Tutegemee...
1 Reactions
13 Replies
4K Views
wana jf naomba ufafanuzi ivi mwalimu wa degree vs diploma wanachukuwa kiasi gani cha mshahara mwenye kujuwa anijuze hapa.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Bila shaka uongozi wa mkoa wa Pwani umefanya jambo la busara kumleta DEO mpya mama Elithabeth Ngoyani kuwa Afisa Elimu sekondari wilaya ya Bagamoyo.Kwani baadhi ya watumishi idara ya elimu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Huu si uungwana matokeo yatoke lakini watoto wengine wawekewe withheld wakati ada ya mtihani wamelipia na kama haitoshi serikali ipo kimya muda wote toka tarehe 21 feb mpaka leo serikali haijasema...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Katika matokeo ya mtihani wa kufungia Shule wa mwisho wa muhula wa 2013 uliouhusisha kidato cha tatu na nne maarufu mtihani wa tahosa Vijana wamekuwa wapili katika mtihani huo kati ya shule...
0 Reactions
51 Replies
10K Views
Jamani wadau hivi ukipotelewa vyeti vya form four au six unatakiwa ufanyaje ili kureplace kile cheti?
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna sms imezagaa ikisema kuwa tangazo kutoka kwa loan officer kwamba boom litaanza kusainiwa kuanzia trh 3 hadi 11 ,je hii ki2 ni kwel ! Kwa anaejua bac 2fahamishane !
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa wale waliopitia A-LEVEL in govermet or hata kama ni private lakini anafaham plz naombeni m2juze ili 2weze ku focus 2taanzia wp? Maana weng we2 2natoka katika familia za kipato cha chin so...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kipi bora katika kutuma bod ya mikopo il upate loan. Utumie matokeo ya six au matokeo ya diploma? Kwa wale insevirce
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ukitazama historia viwango vilivyokuwa vikitumiwa na baraza la mitihani kipindi cha nyuma Vilitumika kwa muda mrefu. Viwango hivi viliwanyima wanafunzi wengi kuendelea na masomo ya advance, hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habar? samahani wana jf ninaomba kujuzwa jinsi ya kutuma maombi ya kujiunga na vyuo vya kilimo kwa mtu aliyehitimu kidato cha nne na qualification zake
0 Reactions
3 Replies
926 Views
jamani kama kuna mtu yeyote anayeenda kufanya mtihani wa mature age hapo chuoni tuwasiliane 0764625417
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Tangia nimeanza hizi kozi naona masomo magumu kweli katika kusoma kwangu kote sina historia ya kukata tamaa lakini kwa hii kozi nahisi kukata tamaa kunamasomo magumu kweli computer architecture na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jamani nimeulizwa sana ni nani mwenye taarifa boom semiester ya pili SUA linaingia lini?mwenye info tafadhali.
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom