Mdogo wangu anaitaji kufanya mtihani wa form 6 mwaka kesho kwa HKL kama PC . Naomba mnijuze Vitabu vinavyofaa kumnunulia vinavyoendana na mtaala wa sasa kwa hayo masomo.
naamba tuongee hii hali ya ticha mkuu kumchapa mwanafunzi fimbo zaidi ya kumi eti hajalipa ada. mbaya zaidi anafanya hivyo wakati mitihani ya moku inaendelea.
Taarifa nilizopo hapa wizaran ni kwamba kutokana na ufinyu wa budget uliopo ndani ya wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi kuna taarifa ambazo zimeanza kuvuja chini chini kwamba kwa wahitimu walio...
Jana katika moja ya mijadala hapa mtaani Kinondoni Shamba, Jijini Dar, kulitokea mada iliyozua utata miongoni mwetu pale ambapo mtoa mada ndugu Jackson Joseph alizungumza kwamba kuna AKILI KUBWA...
Wana jf kuna mdogo wangu(baba mdogo) ni wakiume yupo hapa Dar amemalza form four 2013 amepata division 4 ya point 39
sasa baba yake amemuambia anampa two weeks awe ameshafkria aende akasome...
Ajira mpya za Walimu ni utata.
Kutokana na kutokuwa n uhakika wa budget hatimae jana wizara hizi zimeamua kufikia uamuzi ambapo pesa zilizo kuwa na mvutano kuhusu ajira mpya za walimu...
Kufanya vibaya kwa shule za sekondari za kata Tanzania unachangiwa na utaratibu mbovu na chuki binafsi kwa baadhi ya walimu wakuu.Wanawachukia sana walimu wa sayansi,hata kama mwalimu hana...
Kwa matokeo haya wanaweza kenda A-Level; History C, Geography C, Kiswahili B, English D, Biology D, Agriculture D, Civics D, Maths F, Chem E, ambayo ni div III ya 31 mbona me namashaka?
Jamani naomba kuuliza hivi serikali za mitaa zinatufikiriaje kweli mratibu elimu kata mwenye level ya cheti au form four wanapata wapi ujasiri wakuwakagua diploma na degree.
kwa wale wote wanaotaraji kufanya mtihani wa kidato cha nne na QT (PRIVATE CANDIDATE NA SCHOOL CANDIDATE), wameongezewa muda wa usajili hadi 31 march tofauti na ilivokua awali ambapo leo 28 feb...
Hiv ni kweli chuo cha mkwawa wanaanza course ya stashahada ya ualimu? Mwenye uhakika na hili tafadhari na kama ni kweli vp kuhusu ajira za lecturers na TA's zitatangazwa lini hapo mkwawa
STUDY IN PAKISTAN 2014 - 2015
The Ministry of Education and Vocational Training has received an official communication from the High Commission of The Islamic Republic of Pakistan in Dar es...
pamoja na matatizo mengine ya shule za serikali ieleweke wazi kuwa hawa walimu hawataki kufundisha na ni wazembe,inatakiwa dawa ipatikane,dawa siyo mshahara,hata wakiongezwa mshara hili tatizo...
kwanza nawapa hongera weng mliofaulu nikiwemo na mimi tofauti na miaka miwili nyuma now tumefaulu wengi kwenda advance kwaiyo hii inamaanisha mitihani ya sisi ya form 6 itakuwa migumu sana ili...
Coastal High School is Located at Tanga City. It is a Private School With Both A Level and O Level Students. Currently, the School Invites Highly Qualified Tanzanians to Fill 2 Vacant Posts Below...
jamani mm nina diploma ya computer engineering and networking, kwasasa nataka kusoma hizi professional studies za nje ya nchi. hasa kwenye masuala ya security, nahitaji msaada wenu jamani kwa ushauri
Chuo cha Afya ngudu ni miongoni mwa vyuo vikongwe vinavyoongozwa na serkali kwa huduma zote,Lakini kwa sasa chuo hiki kimetelekezwa na serikali kwa huduma zote zinazowahusu wanachuo wa hapo,baadhi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.