Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Sizungumzii upangaji wa alama/ kama ilivyo zoeleka . WALIO FAULU KIDATO CHA NNE 2013 KUENDELEA NA ADVANCE . Hongera kwa watoto/wadogo/ndugu zetu waliofanikiwa kuendelea na masomo ya advance...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
UFAFANUZI WA MASWALI MBALIMBALI YA WADAU WA ELIMU KUHUSU MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2013 Baraza la Mitihani la Tanzania lilitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE)...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
I have a nephew at 5 and 1/2 yrs old , at this age he neither speaks nor writes even those simple words that his peer can do. His school management have told us that they don't need him any...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Chuo gani kinapokewa wanafunzi wa certificate wenye D mbili? Naombeni msaada tafadhali.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kuuliza wakuu kuna uwezekano wa mtu aliyesoma laboratory technology ya dit/mist kupata nafas ya kusoma pharmacy muhimbili au bugando?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari za jioni wana JF,.. ni tumaini langu mu~wazima,nisaidieni juu ya mdogo wangu,.kamaliza 4rm 4 mwaka jana na ndo kapata matokeo yake yapo hivi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
here » Home » Kenya Two Form Four students arrested after gun was found inside schoolbag Updated Saturday, March 1st 2014 at 16:18 GMT +3 0 inShare By Peterson Githaiga Kajiado, Kenya: Police...
0 Reactions
0 Replies
965 Views
Ajira mpya, kwa sasa majina yapo hazina , kila mtu anapangiwa pesa yake ili kuondoa usumbufu wa kufika kituoni afu hakuna pesa hivyo ondoeni hofu,
0 Reactions
13 Replies
2K Views
kwa hal hii naweza kuaply uwalim kwenye vyuo vya selkar!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
wakuu naomben msaada kwa anayejua shule nzuri ya advance na ya bei chee
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari zenu wana jamii. Naomba msaada wenu kwa mwenye ufahamu, nataka kujua ni topic gani za somo la uchumi zinazo fundishwa katika high school. Pia nitafurahi kama nitafahamishwa ni vitabu gani...
1 Reactions
21 Replies
10K Views
Habari wana jf? Mawazo na ushauri wenu nimsaada kwangu, nahitaji nisome A-level kwa mwaka mmoja kama kuna uweze kano,nifanyeje ili kufanikisha hili. HKL;HGK......?
1 Reactions
5 Replies
4K Views
Ni kweli kuna tatizo la Ajira au kipato Nchini, kwetu Tanzania, Lakini kama unafahamu kiingereza cha kuandika,na una access ya Internet katika maisha yako ya kila siku,uwe umeajiriwa au...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
ALIYE MBEYA JIJI AU RUNGWE-TUKUYU tubadilishane aje KOROGWE MJI (TANGA).idara ya sec. 0752588522
0 Reactions
0 Replies
815 Views
Wizara imedhamiria kufanya harmonization ya masuala ya alama katika mitihani ya Kidato cha Nne na Kidato cha Sita ili kupata muundo mmoja na ulio wazi kwa wadau wote wa elimu ya sekondari...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Hatimaye serikali imetangaza ajira za walimu zipatazo elfu 36 na point kadhaa, ambapo walimu watapangiwa vituo vyao vya kazi muda si mrefu.
0 Reactions
25 Replies
7K Views
Mko wapi mlionena eti ajira za walimu 2013/14 ni Jan au Feb? Bado saa kiduchu kumaliza Februar! Mungu awasamee kwa uongo wenu! Mnadanganya umma wa Mungu! Haya njoo na kauli nyingine.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
jaman nimesikia huwez kupata hizo schoolarship za china mpaka uwe na evidence kutoka loan board kwamba umeanza kulipa, mimi nimemaliza 2013 bado sijaanza kulipa, na ninataka hiyo scholarshp...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Jaman mm n mwalimu mtarajiwa niliyemaliza chuo mwaka 2013 mei. Nauliya ajira zitatoka lini?
0 Reactions
47 Replies
17K Views
Back
Top Bottom