Wanajamvi,
Kumbe kitendo cha kugomea divistion V ndio imeletwa katika sura tofauti. Hivi tunaipelekawapi elimu yetu jamani? Ukifuatilia mgawanyo wa Grades utagundua hii ni janja janja na ufaulu...
Matokeo ya mtihani wa kidato cha nne wa mwaka 2013 yaweza kutumika kama uthibitisho mwingine wa nguvu ya kanisa katoriki nchini Tanzania. Hizi ndizo shule 10 bora:- 1. St.Francis Girls (Mbeya)...
Samahanii jamni kutokana na mfumo mpya sijajua kama hapa combination yenye history yakubalika! Nimepata History E. Geography C. Civics D. English C. Math F. Literature E. Kiswahili B. Biology D...
kwa habari zaidi ebu chek hapa........"feza girls" aaibisha kwa kuibuka na division iv pekee huku wengine waking'ara vema........
http://www.moe.go.tz/NectaResults/olevel.htm
Heko kwako mdau, nilikua naomba kwa anayejua proses nzima kwa liyefaulu kuendelea na kidato cha tano ni hatua zipi zinafanyika jee kuna barua yeyote labda mhusika huletewa ili kujulishwa shule...
Ada ya shule rosmini ni sh ngap? na wanayo combination ya ECA? kwa anayejua anifahamishe tafadhali. nina mwanangu ana A ya Commerce na A ya B/keeping na anapenda sana hiyo shule.
Naomba kuwasilisha
Private school owners express doubts
Second selection now set for March 1
Prof Eustella Bhalalusesa, Ministry of Education and Vocational Training Commissioner of Education
Pupils not...
HABARI
Mdogo wangu hajafanikiwa amepata ufaulu wa div 4 point 37 na amekosa somo mawili la english na history hivyo tunatafuta kituo ambacho kiko karibu kwa hapa dar ili niweze kumlipia tena...
Nataka kujiendeleza kielimu lakini sijui nisomee fani gani ambayo ina soko la ajira la uhakika? Binafsi nimefanya QT 2010, na nikachukua Foundation course pale Open University kwa ajili ya kusomea...
Serikali ya Tanzania mda mwingine inashindwa kuchukua hatua madhubuti za kuimarisha sekta ya elimu. Hatua ya serikali kuongeza daraja E katika matokeo ya mwaka huu ime msikitisha kila mpenda elimu...
Habarinii ndugu, Kuna uwezekano wa kupata Original Academic Certificates za form four na six kama zimepotea...... Coz nme-meet na hili tatizo,
Msaada plz...
Wana jamvi sijawahi kuona wala kusikia shule toka znz imeingia ktk ten bora katika matokeo ya ya kidato cha 4 na pia hata sijawah kupata mwanafunzi bora wale kumi toka znz kwanini?
Naombeni mnitajie Shule za #A_LEVEL ( ADVANCE ) Private Ambazo ni Nzuri Kwa Michoipuo ya #Art na #Science Ambazo zipo Mkoa wa DAR ES SALAAM :: Msaada NDUGU ZANGU , 0757645436 whatsApp...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.