Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

nashkuru kuitika wito. wangu.najua ni jinsi gani mwajawa na vihoro kila msikiapo suala la ajira.ni wengi wamesema,wametabiri na kudanganya kabisa ooh ajira leo,mara kesho.kua na subira yumkini...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari wapendwa naomba anaefahamu chuo kizuri arusha,chenye huduma hostel,au mabweni,kilichopo arusha,,wanachotoa kozi ya nursery teaching au early childhood learning,, tafadhari anisaidie,,nipo...
0 Reactions
2 Replies
935 Views
habari zenu wanajukwaa ni matumaini wote mko vizuri kwa ufupi mimi ni mtahiniwa wa kidato cha nne so nimejipanga nataka kuingia chuo cha mipango dodoma but nimeambiwa unaweza kuingia DIPLOMA moja...
0 Reactions
0 Replies
665 Views
Imezoeleka kuwa wanachuo wanaenda mazoezi ya kufundisha mwezi wa pili, lakini sasa hakuna taarifa yoyote hata wakuu wa vyuo hawajui,sijui ndo tuseme pesa zimeenda kwenye bunge la katiba au hazipo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Maajabu matokeo kidato cha nne MATOKEO ya kidato cha nne yaliyotangaza hivi karibuni yameendelea kuibua mkanganyiko kutokana na kuwapo kwa utofauti wa madaraja kwa pointi zinazozolingana...
1 Reactions
49 Replies
7K Views
Chuo kina matatizo makubwa sana ya maji yaaan imekuwa ni km bidhaa hadimu
0 Reactions
29 Replies
4K Views
Vijana najua mumesubiri sana lakini swala la ajira nitete bado kwasababu majina huwa yanapelekwa kwanza wilayani kwa wakulgenzi ndio post zitangazwe lakini mpaka sasa majina hayajapelekwa. Kwa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Sijaelewa kabisa hapo ,,mwenye points 41 ana "0" na mwenye 44 ana iv, sielewi kwa kweli nisaidieni ufafanuzi wakuu
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Azam tv wametangaza nafasi mbalimbali za kazi. Ingia hapa www.azamtv.com bofya neno career utaziona. Haya majobless wenzangu tushindwe wenyewe.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Mimi ni mwanafunzi wa diploma kuna tetesi nimezipata kuwa ukimaliza diploma unauwezo wakusoma postgraduate kama umefaulu vizuri bila kusoma bachelor degree na vigezo wanavyotumia ni vipi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nina ndugu yangu anataka kusoma bachelor of science in irrigation and water resources engineering pale sua,mim sina uelewa wa kutosha juuu ya kozi iyo na je ina future,mwenye kuelewa vizuri...
0 Reactions
3 Replies
868 Views
nauliza how to calculate GPA ,je hiyo iko costant kwa vyuo vyote bongo au duniani,naomba kujuzwa
0 Reactions
20 Replies
28K Views
Wadau ebu tujadili zile shule zetu za vipaji maalum,mzumbe,kibaha, iliboru, kilakala, nini kimewasibu hadi top ten?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari, natafuta mtu wa kubadilishana nae kituo cha kazi(AFISA KILIMO) Kutoka mkoa wa MOROGORO, DAR, TANGA NA PWANI. Aje Mkoa wa MBEYA Halmashauri ya MBEYA. Mawasiliano no. 0657949631, email...
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Naomba tulinganishe madaraja yaliyokuwa yakitumiwa na Necta kabla ya madaraja mapya. alama zilizokuwa zikitumiwa awali na Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) katika kupanga matokeo hayo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Namaliza mwaka mzima mitaa sasa bila ajira kutoka..cjui kama nakumbuka tena kufundisha...hii Ndo Tanzania yetu...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mmetangaza matokeo ya kidato cha nne kwa mtihani uliofanyika mwaka 2013, hata kama ni BRN ni sawa, lkn mmeacha maswali mengi yasiyo na majibu, mfano: 1. Hakuna ufafanuzi credit ni ipi kwa sasa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari zenu wakubwa na wadogo, siku ya trh 22,2 ilikuwa ni siku ya furaha kwangu baada ya kupata matokeo yangu ya kidato cha nne na kufaulu vizuri. Nilipowajulisha walezi wangu kuhusu hayo matokeo...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Back
Top Bottom