Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

najiuliza, ina maana hakuna mtu mtu anayeweza kumkumbusha raisi kuhusu hotuba yake aliyotoa dec 2013 kuhusu ajira za walimu? hakuna mtu anayeweza kumuuliza mh. majaliwa kuhusu ile mapema januari...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
[deleted ]
0 Reactions
0 Replies
817 Views
Wakuu naomba mnijuze mna mtazamo gan kwa hawa necta maana mimi nawachukulia kama wafanyabiashara tena ya mtu binafsi!!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakuu naomba mnifahamishe hili, Mtu ambaye amesoma Degree ya BAED yaani Bachelor of Arts with Education, anaruhusiwa kufundisha kwenye vyuo vya ualimu? maana niliwahi kusikia kuwa hawaruhusiwi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inafikia muda unaweza ukazimia kabisa .. ..sasa ue za sua zimekaa kama necta inafikia stage swali moja linakua na 40marks the rest pia yamekazwa mr Marwa kokote ulipo ujumbe wako huu. Kuna...
0 Reactions
27 Replies
4K Views
Nimejaribu kufanya online registration kama Private Candidate, nikawa nimefikia hatua ya ku-upload Photo nikaona wametoa warning kuwa photo isizidi Kb 30, nifanyeje hali passport size yangu ni...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Za mchana wakuu. Nilipigiwa simu na ndugu yangu alioko mbali na ninapoishi. Akaniambia kuwa anahitaji nimsaidie ada ya mtihani wa form four,nikamuliza ni shilingi ngapi? akaniambia Tshs 50,000/=...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
naomba kuuliza kama bado tanzania kuna special schools kama miakaya tisini akina mzumbe,kibaha na tofauti zao na shule za kata
0 Reactions
46 Replies
5K Views
Nawatafuta niliosoma nao LUHIRA primary au aliyemaliza o level highlands iringa mimi ni JUMA MOHAMED LIHUMBO
0 Reactions
0 Replies
847 Views
Habari wanajamvi wenzangu;samahani naomba anayejua shule ya sekondari ya JOHNSTON HIGH SCHOOL ILIPO HAPA DAR ES SALAAM .Anielekeze ilipo.asanteni
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Chanzo cha habari kutoka wizara kimedai kuwa si rahisi kwa serikali kutompatia ajira mwanafunzi aliyesomeshwa kwa pesa nyingi,ila yule aliyekuwa na %chache itakuwa ngumu kwa yeye kuajiriwa...
0 Reactions
52 Replies
6K Views
Mimi ninadogolangu (form four leaver 2012) anapoints 29 namtafutia chuo chochote lakini kiwe nicha serikali kwa mwaka wa masomo 2014/2015 wadau nisaidie ninashida ya huyu dogo.Ahsanteni no 0765469266.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ripoti ya shirika la umoja wa mataifa linaloshughulikia Elimu sayansi na Utamaduni (Unesco) inasema watu wasiojua kusoma Tanzania hadi kufikia mwaka 2002 ilikuwa idadi ya watu wasiojua kusoma na...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Amazing Mathematics If: A B C D E F G H I J K LM N O P Q R S T U V W X Y Z is equal to: 1 2 3 4 5 6 7 8 9 10 11 12 13 14 15 16 17 18 19 20 21 22 23 24 25 26 Then, H+A+R+D+W+O+R+K ...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba kuuliza hivi serikali inampango gani na kuwapandisha madaraja walimu kwani ni miaka sasa inakata bado madaraja yame-stagnate palepel....Mfano mwalimu aliepandishwa daraja akaingia D1 miaka...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana janvi kwa wale walio soma Shule ya Sekondari Ihungo waje tufahamiane. Mimi nilisoma pale 2000s.
0 Reactions
10 Replies
6K Views
IMPORTANT: 1. Attention is called to ‘Notice to Candidates’ overleaf. 2. Where contradictions arise; the day, time and duration shown on the question paper should be adhered to. 3...
0 Reactions
7 Replies
44K Views
kama kawaida wadau tunaomba dua zenu kipindi hiki tunapoanza mitihani yetu ya kumaliza semester ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2013/2014,UDSM(Main Campus,DUCE & MUCE),tunaanza tarehe 3 mpaka 14...
1 Reactions
34 Replies
6K Views
wadau heshima yenu! Kama kuna mdau yeyote anayeweza nipa information za kutosha kuhusiana na hii kozi inayotolewa pale chuo cha tra mwenge naomba anipe tuu sababu naona page yao haifunguki...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Wakuu naomba kuuliza,kama inawezekana kufanya mitihani ya Procurement kwa mtu ambaye ana degree ya Economics?,na kama inaruhusiwa mhusika ataanzia stage gani?,na je baada ya kufanya mitihani hiyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…