Dar es Salaam. Serikali imeanzisha mfumo mpya wa udahili kwa wanafunzi wanaoingia kidato cha kwanza, kwa kuwalipia ada watakaojiunga na shule binafsi...
Samahani lakini,kipindi cha mitihani kimefika naomba kusaidiwa nitajuaje kama camera imewashwa wakati nafanya pepa?chuoni kwangu kuna camera madarasani,nauliza nijue ili nitumie sapoting...
Mapinduzi ya mwanzo Africa -congo kinshasa 15 sept 1960 Siku 13 tangu nchi ipate uhuru kutoka kwa waberigiji . Patrice lumumba (waziri mkuu) alipinduliwa na hasimu yake Rais joseph kasavubu...
kutokana na upungufu mkubwa wa walimu nchini serikali na taasisi za binafisi wamefanya na wanafanya juhudi kubwa kutatua tatizo la walimu,tayari kwa kiasi kikubwa tatizo la walimu wa arts ni kama...
Leo ktk pitapita zangu nimekutana na Tangazo hili idara ya kazi Singida.
Mkurugenzi wa Halmashauri ya manispaa anawatangazia walimu wote wa shule za msingi na sekondari ndani ya manispaa...
Wadau,Heri ya mwaka mpya!
Katika harakati za kujaribu kurudi shule (moja ya malengo yangu ya mwaka huu), ninahaha kutafuta shule ya post-graduate yenye walau moja ya sifa zifuatazo kwa mpangilio...
BY KAMAU MBOTE, 3 FEBRUARY 2014
CIO East Africa (Nairobi)
Tanzania's university of Dar es |Salaam is the top ranked East African University at position 12 in the continent according to the 2014...
kumekuwa na utoaji holela wa elimu ya sekondari usiozingatia ubora na tija kwa taifa. Mbali na serekali yetu kuwa na mipango mikakati mizuri ya kuboresha elimu kwa ujumla bado wapo watu wamekuwa...
Wadau pitieni hii kama upo interested au una mtoto,ndugu,rafiki,jamaa ambao unafikiri wanaweza kunufaika kupitia hii youth camp tupigie au tutumie email kupitia namba zilizotajwa hapo kwenye...
Wakuu naomba msimamo wenu kwa wale mnaomfahamu
juu ya huyu mama "Ester Abraham-Hicks",
Hivi anaamini katika MUNGU wetu MUUMBA wa vyote
au mungu yupi?
nisaidieni jamani.
Unaweza check...
Habari wanajamii,
Jamani mimi nimesomea Bachelor of Arts in History na nimemaliza mwaka 2013 .kutokana na nature ya hii kozi ambayo nimesoma ajira zinasumbua.ninaomba kama unaweza ukanichangia...
Helo,natumaini wote wazima na buheri wa afya.
Naombeni msaada kama kuna mtu yoyote ana links za scholarship za china mwaka huu kama zimetoka.
Nawatakia kazi njema na mafanikio mema.
Habari wakuu.
Nimegraduate mwaka jana. Nikiwa mwaka wa kwanza mkopo ulisumbua kidogo, maana ulikua located chuo kingine nilikochaguliwa. Ila baadae ukaja chuoni kwangu. Bodi walikua waanilipia...