Wapendwa poleni na majukumu ya kilasiku. Mwenzenu ninapenda kujua katika swala hili . kwanini watahiniwa wengi wa kujitegemea hawafanyi vizuri katika mitihani yao? Pili kuna tofauti zozote za...
Kwa wale wanaoifahamu hii shule nasikia iko Mafinga. Ningependa kupata maelezo yake kuhusu ubora wa taaluma, mahali/sehemu ilipo kwa huko Mafinga na kama ni mchanganyiko na mengine mengi...
Wengi kati yetu wamejaribu kwenda kwa waganga kutafuta chanzo na pengine huko waliambiwa kuwa wanarogwa, wakagangwa kwa zindiko, lakini hali yao haijabadilika! Sasa kwa sababu saikolojia ni zaidi...
Kwa hali hii lazima tusimame kidete,Siku ya leo ni mekutana na mwanafunzi jina nahifadhi kwa usalama wake,Mwanafunzi huyuo x,kanifuata akiniomba msaada wa kumchangia Malipo ya shule,Kaka shikamo...
Salaam wakuu,
Kama wewe ulipitia shule ya bweni basi utakua unafahamu, ama umewahi kusikia, ama wewe mwenyewe unaweza ukawa pilot mstaaf. kwa kifupi ninaongelea swala la kuruka ukuta usiku...
Hbari wana JF.
Nilifanya Advance Diploma in Taxation IFM, Post Graduate Diploma in Accountancy IFM sasa nataka kusoma Masters ya Accounting and Finance UDSM lakini nimesikia unatakiwa kuwa na...
Habari wakuu!
ithink we are alotof ambao hatukwenda katika konzi yeyote mwaka 2013,sasa hebu tupeane mawazo huu mwaka 2014 kipi ni chuo na nafuu kwa elimu ya tanzania kwa konzi kadhaa either in...
nimekuwa nikifuatilia mada mbalimbali hapa jukwaani kuhusu elimu ya mtu na chuo alichosoma.kuna wadau wanadai eti kama ukisoma Havard au UDSM au Oxford basi wewe una weledi sana wa masomo kuliko...
Nina wazo "jipya" kidogo, tulijadili... Ingawa nimetumia neno madawati katika title, hapa namaanisha kuwa maendeleo kwa ujumla, (lakini ya manunuz tu, sio vikao), kama vile vitabu, vifaa vya...
Habari za kwenu,
Naombeni kujua ni vyuo gani vizuri marekani (sio lazima viwe on top) katika kufundisha mambo ya networking and information security kwa level ya masters. Pia viwe kati ya vyuo...
Kwani humu ndani hakuna m2 mwenye uhakika kuhusu lini ajira mpya za walimu zitatoka, kwani ishafikia hatua watu wanalidanganyia gazeti fulan kwamba ndio chanzo kilicholipoti ukiangalia gazeti...
Habari zenu wana jukwaa.!
natumaini kila mmoja kwa sasa anashauku ya kwenda chuo na kuripoti na kuanza masomo
kwa kutumia fursa hii ningependa tuyajadili matatizo mbalimbali yanayowakumba...
Habari zenu wakuu, ni matumaini yangu kuwa mu wazima wa afya tele. poleni kwa mlio na walakini kwa namna yoyote ile.
ama baada ya salamu, nina hoja ambayo ningependa tuizungumzie kwa pamoja kama...
ST JOSEPH UNIVERSITY IN TANZANIA
(Plot No. 113, Kibamba, Mbezi Luguruni, P.O.Box. 11007, Dar es Salaam)
NOTICE
REOPENING OF THE CAMPUS COLLEGES AT SONGEA
ST JOSEPH COLLEGE OF INFORMATION...
habari wataalamu wa sheria...nikiwa mtumishi wa taasisi ya umma na nimeomba kazi tume ya utumishi wa ajira kwa post ya juu kuliko niliyopo na nikafanikiwa kupata, nimemfuata mwajiri wangu wa...