Habari za Jumamosi wanaJF. Nina mtoto ambaye anakaribia miaka mitatu. Tupo kwenye mabishano kidogo na wife kwamba mtoto aingie chekechea au la!. Mama anasema umri huo unatosha, lakini mimi naona...
Mi nimechaguliwa bachelor of education with special need udom.vp ajira zake zikoje mtu akimaliza?NAWAKARIBISHA WATU WOTE WENYE HEKIMA KWA MAWAZO YENGE HEKIMA
Wiki iliyopita niliandika uzi hapa kuhusu tabaia ya walimu kuwarudisha nyumbani wanafunzi eti kwa sababu hawajamaliza kulipa michango ya shule. watu wengi hawakuunga mkono hoja yangu, wakitumia...
hawa watoto nao wana ndoto zao maishani!
wengine watataka kuwa mawaziri, wengine wafanyabiashara, wengine waalimu, mwingine atataka awe rais n.k
sasa je kwa mazingira kama haya, ndoto zao...
Mimi ni mdau mzuri wa JF na nikiri kwamba JF imenipa faida nyingi sana. Leo ntaieleza Moja tu nayo nikujua thaman ya Elimu ya Madrasa
Wana JF sote nimashahidi kwamba ktk thread za kila siku...
Nimekuwa nikijiuliza kwa nn hiki chuo bado kinatumia system ya zamani ya kudahili wanafunz wake wenyewe bila kupitia Central Admission system (CAS) ya TCU kama vyuo vingine vya elimu a juu?Je ni...
Wadau
vyuo vikuu kuna kozi zilizoanzishwa ambazo hufundisha masomo ya kufundishia kama vile biology, chemistry, physics , history na mengineyo. Tatizo la kozi hizi ni pamoja na changamoto za...
Kwa jinsi baadhi ya form one
walivyo wadogo kiumri,
inaashiria kwamba kwa baadae
kutakuwa na walimu
watakaokuwa kwenye peer
group moja na wanafunzi wao,
ina maana kwamba walimu na
wanafunzi...
habar kizazi cha mapenz
jana serikali imetoa post yangu peke yangu na imenipangia Paris na natakiwa kuripot tareh 1 Feb na niende na vyeti vyote sasa nauliza vp kuhusu lugha yakufundishia na vipi...
Kwa wanaohitaji tuition ya masomo ya biashara:commerce,book keeping,accountancy pamoja na mathematics.kuanzia form 1 hadi form 6 tuwasiliane.utapata tuition katika muda utakaoupanga wewe hvyo...
JAMANI KUNA HII KOMBINESHENI; CBM(chem,bio,maths) NI KATI YA ZILIZOONGEZWA A-LEVEL !!! JE NAWEZA KUCHAGULIWA KUSOMEA UDAKTARI? AU med.doctor LAZIMA NCHUKUE PCB??
MWENYE IDEA NISAIDIE.
Utafiti....uliofanywa na wataalamu wengi unaonesha watu wengi ambao wapo maofisini na hufanya vizuli na hukubalika......kutokana na vyuo hivi kutoa watalaamu katika fani hizi ndio wanaofanya...
Nimesubiria saana! nkajua labda januar nayo ndohyo inakata, walsema wanasubir kibal kutoka u2mish kuanzia FEBRUARY 1 - MARCH 30, km cyo kurpot mwez wa 4 hapa cjuii!.... mfano zkatoka march 15 we...
Hivi punde tu katika kipindi cha Nipashe cha Radio One Stereo, Meya wa Manispaa ya Kindondoni Yusuf Mwenda, amekiri katika mahojiano na mwendeshaji wa kipindi hicho kuwa Shule ya Msingi ya...
Hii sasa ni fedheha katika taasisi ya Umma. Kuna ndg yangu amepewa promotion hapo na kusisitiziwa iwe siri yake maana yeye amependelewa tuu na wenzake waliomaliza shule wote wameachwa, kwa hiyo...
Wabaya wa Uongozi wa Chuo huhamishiwa huko kama adhabu kwa kuwa wanahoji ufisadi unaofanyika. Hata kama watoto wako shule hupewa barua ghafla ya kutakiwa kuhamia Zanzibar mara moja. Kama unasoma...
Vyuo vya ualimu Tanzania vimefanywa sehemu ya Mkurugenzi wa elimu ya ualimu ndugu Bakari Issa kuvuna hela kinyume na taratibu na maadili ya kazi.
Aidha ndugu Bakari Issa amewateua wakuu wa vyuo...
kwakweli hata kama mambo yamebana sana na walio wengi hawajui course work zao hadi leo ijumaa na jumatatu Ue ianze,ni wakati ambapo kila mmoja anayeguswa kuomba kwaajili ya jambo hili afanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.