kuna taarifa zimezagaa kua walimu wameongezewa mshahara asilimia 75, naomba majibu yenu yenye uhakika coz kuna ndg yngu yuko kijijini ni mwl ananisumbua ili apate uhakika. Great thinkers comment .
Jamani natafuta shule ya international school kwa ajili ya watoto wangu iliyopo jiji la Mbeya yenye kutumia IB or CIE curriculum kwa kufundishia. Naomba usaidizi wenu kwa yeyote mwenye kujua...
Tunalaumu Walimu kuwa chanzo cha mdororo wa elimu hapa Tanzania. Je vyombo vilivyoundwa ili kusaidia kuboresha elimu (kama vile Maktaba za Umma) vinatekeleza majukumu vilivyopewa?
Mdadisi
Kwa mtu aliyesoma dip. In electronics and telecommunication anaweza kusoma telecommunication UDSM.kama ndio ni kwa mda gan?.msaada nwa anayejua tafadhal. Thanks in advance!
Nipo katika maandalizi ya mitihani yangu. Nimeona njia rahisi ya kujizuia kuingia humu ni kuwa katika definite ban. Specifically, ninaomba ban ya siku 14 na ningependa iishe siku ya Jumatano...
kiongozi kama naibu waziri wa tamisemi kasimu majaliwa yafaa ajiuzuru kwa kauli yake. mwishoni mwa mwezi wa 12 waziri huyu alisema ajira za ualimu zitatangazwa mapema mwezi january, saihiv...
Naomba kuchukua nafasi kwa kusema kwamba kulingana na vyuo tunavyotoka kusema kweli kuna vyuo vina elimu ngumu,USHAURI ni kwamba kwa yule aneona hana msuli wa kutosha aombe kuelekezwa asije ishia...
Serikali imekusudia kutoa tabuleti ya kufundishia masomo mbalimbali kwa shule za sekondari hapa nchini.ili kukamilisha mpango huo serikali imeingia ushirikiano na taasisi ya kimarekani ya...
Habari wana jamii, hopefully ni wazima, mgonjwa Mungu akuponye haraka, mi mgeni humu ni budi kusema hodi, nauliza km kuna anayefahamu mtu binafsi au taasisi inayotoa ufadhili wa masomo nje ya...
Habari wanajamii,
Hopefully hamjambo na kwale wagonjwa ama tatizo lolote Mungu awafanyie wepesi.
Mimi mpya kabisa humu ndani sina budi kusema hodi, shida yangu ni kutaka kufahamu kuhusu...
Top 100 Universities in Africa in 2013
Posted by Editor / December 23, 2013 - Nakuwekea link hapa kama ili utazame mwenyewe.
Top 100 Universities in Africa in 2013 | THE AFRICAN ECONOMIST...
hali zenu wapendwa!
kwa mwenye habari/maelezo yenye uhakika kuhusu ajira za walimu lini zitatoka naomba anifahamishe kwa ngaz zote shahada,astashahada,na cheti,
n.b nimeuliza kwa wema matusi...
Nimeona niamue kuweka thread maalumu kwa watu waliosoma sheria(law) certificate,diploma ,degree(LL,B),MASTERS(LL,M) NA PhD (LL,D) nia na madhumuni ni kujadili masuala mbalimbali ya hii taluma ya...
Hakuna asiyefahamu kuwa idadi kubwa ya Watanzania ni watu maskini sana hasa maeneo ya vijijini.Serikali imejenga shule za sekondari katika maeneo mengi ya vijiji hivi kwa lengo la kuwasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.