Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Natafuta msaada wa scholarship ya kumalizia masomo yangu, niko mwaka wa pili nasomea Medical laboratory Technology.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
MBINU 10 ZA KUIMARISHA SEKTA YA ELIMU TANZANIA(MAKALA,,,MWANANCHI) Makala haya yanaangazia baadhi ya mikakati inayoweza kunusuru elimu ya watoto wetu, ili hatimaye waweze kupata stadi na ujuzi...
0 Reactions
1 Replies
9K Views
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kimemtunukia/patia shahada ya uzamivu ya kiswahili (PhD in Kiswahili) ndugu Method Samwel, kwa sasa anaitwa Dkt. Method Samwel. Dkt. Method Swamel ameweka rekodi kwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Hasa kwa wafanyakazi wa taasisi za elimu ya juu; Ngazi ya mshahara ya PHTS8 ina mshahara kiasi gani?
0 Reactions
1 Replies
947 Views
Ni jambo la kushangaza sana ndg zangu. Kuna shule moja inaiwa Juma kisiwani, ni shule ya msingi iliyopo kata ya Katunguru Wilaya ya Sengerema Mkoa wa Mwanza. Shule hii licha ya kuwa na uhaba wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
mpaka sasa matokeo ya mtihani wa taifa wa kidato cha 2 mpaka leo hayatoka huku shule zikiwa zimefunguliwa,nini tatizo makamanda?BRN vipi imekula kwao sana?
0 Reactions
34 Replies
84K Views
jaman ndugu zangu wa jf habari zenu,nahitaji msaada wenu wa mawazo kwa hili,mimi nimehitimu chuo cha ualimu grade (a) mei mwaka jana.na hivi majuzi nimefanya interview ya jkt na nimefuzu pia mmoja...
0 Reactions
2 Replies
935 Views
Kwani Wakati mwingine KAWAMBWA atumie tu ustaarabu aachie kiti. Huenda rais anamuonea aibu kumtimua. Kawambwa wewe ni mtu mzima kwanini usione aibu kwa kushindwa kutatua kero za elimu ukawaachia...
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Habari. Naomba kujua muda ambao waombaji hupata matokeo yao baada ya kuomba Tgcl scholarship na je scholarship Hii ni yenye uSawa kwa waombaji au inaubaguzi/upendeleo?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu,hope mko poa kabisa!Ninapenda kutoa shukrani zangu za dhati kwa uongozi mzima wa JF,pamoja na members wote kwa ushauri,maelekezo na muitikio wenu wakati ule nilipokuwa nikihangaika namna ya...
0 Reactions
0 Replies
945 Views
Ndugu wanajamvi, Nimekuwa nikiumia sana kwa jinsi siasa mbovu za hii nchi yetu zilivyoingizwa kila sekta ya nchi. Nakumbuka wakati ambao tulikuwa hatujaingiliwa na mmomonyoko wa maadili kulikuwa...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Tafadhari waliosoma science na kupata alama hizo watasoma miezi 3 masomo yake mawili ya sayansi na kufanya mtihani akifaulu anajiunga na diploma ya ualimu mwezi wa saba mwaka 2014.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba matokeo ya kidato cha pili ya mkoa wa mtwara.
0 Reactions
3 Replies
9K Views
Watanzania wenzangu naomba taarifa yoyote mpya kutoka HESLB kwa mwenye nayo juu ya rufaa zetu.Nashukuru
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ni shule ipi ya binafsi ungenishauri nimpeleke mwanangu Iringa mjini kwa kidato cha kwanza 2014? zingatia pia maadili siyo ufaulu tu.
0 Reactions
11 Replies
17K Views
Habari, Naomba kama kuna mtu mwenye soft copy au hard copy ya hicho kitabu aniPM tuwasiliane. Waandishi ni Philip Hardwick,John Langmead na Bahardul Khan. NATANGULIZA SHUKRANI.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hivi wizara ya elimu inamakosa gani.? Mbona manaibu waziri wa serikali hii elimu yao siyondogo lakini je wanao ueledi wa kusimama mbele ya tendaji wa wizara hiyo waliyobobea katika elimu. Naanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu,me naomba kufahamu kuwa kwa nini chuo kikuu cha dodoma mara nyingi kinakumbwa na kashfa za uduni wa taaluma na masuala ya ngono?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habar za kaz wakuu, Mimi ndo namalizia mwaka wa mwisho nasoma BAED ( Geography na History) niliitaji kuunganisha Master, Tatizo ni taratibu sifaham zikoje? na pia ni Master ipi ambayo inasoko...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
ndugu wanajamvi kama kicha habar knavyojieleza, naomba msaada wenu wa kuvijua vyuo vya sheria kwa ngaz ya cheto coz kunamdogoangu almalza kdato cha nne mwaka 2012 xo anataka akajiunge mwaka huu na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom