MAZINGIRA:
CHANGAMOTO KWA VYUO VIKUU KUTOA KIPAUMBELE MAFUNZO YA MAZINGIRA, KUTUMIA MTAALA ENDELEVU
"Asilimia 80 ya watu waishio vijijini wanategemea sana maliasili ya mazingira. Na maisha...
Habari wana JF,
Mimi ni mtaalam wa lugha ya alama na mambo ya ukalimani kwa viziwi hapa Tz.
Kwa yeyote anaeendesha taasisi,semina,warsha au event yeyote na anataka kuwashirikisha watu wenye...
Wadau mimi nategemea kufanya mitihani hiyo mwezi may mwaka huu hivyo basi natafuta watu waku-discuss nao.
Kama upo Mwanza mjini tuwasiliane kwa kupitia link hii tuone tunayaanzaje masomo mapema...
hili suala linakua gumu kidogo kulielewa kwasababu kuna education for liberation na education for domestication!!!wanajamvi na mchango wenu kwa mwenye uelewa na hili jambo
Amani kwenu wana JF na wadau wote wa elimu! Binafsi nikiwa ni mdau mmojawapo wa elimu ninaiomba serikali hususa wizara ya elimu na mafunzo ya ufundi au TAMISEMI kuangalia kwa upeo nzuri nafasi ya...
Ni wiki ya pili tangu shule za sekondari mkoa wa kigoma zifunguliwe,ukitembelea shule nyingi katika halimashauri za kigoma hazina wanafunzi wa kidato cha tatu, ukifuatilia zaidi utaambiwa...
Ndg wanajamvi naamini humu wamo walimu - kwa taaluma. Naomba kuuliza kwanini wanafunzi wa kuanzia darasa la I hadi la V wanafundishwa kuwa namba ndogo haiwezi toa namba kubwa?
Mfano; 2-6 =...
Hichi chuo kilichopo Mbezi, st joseph
1)Uchaguzi wa wanafunzi kuchagua rais wao, mawakala, wenyeviti wa tume ya uchaguzi walikuwa walimu wa chuo (wahindi) na sio wanafunzi.
2) Huruhusiwi kwenda...
nilichaguliwa course ya bsc in biology, nipo mwaka wa pili lakini nimefanya maamuzi yangu nimeona bola niache chuo alafu ni apply tena course nyngne ninayoipenda for academic year 2014-2015...
Sakata la ubadhirifu Wa hela chuo cha ualimu Korogwe limeibuka upya.
Hatua hiyo imekuja baada ya wazabuni kugoma kusambaza chakula cha kuwalisha wanachuo.
Aidha sakata hili liliwahi kuibuliwa na...
Ndugu zangu wana jf natanguliza salam. Eti wana jf je mtu anaweza anaweza kusoma MD akatokea ngazi ya diploma clinical officer kwa kutumia cheti cha form4 tu. Maana naskia huyu co mwenye cheti cha...
Kuna ndugu yangu alisoma undergraduate hapo cbe na anahitaji kujiendeleza ana vigezo ila ,hapa tz kuna chuo kimoja tu ambacho kinatoa hii course ni cbe.ila hawa wamekuwa wakila hela za watu kwa...
nafasi za kusomea ualimu kwa mwaka 2014/2015 walimu wa sayansi tu wanahitajika
TANGAZO LA NAFASI ZA MAFUNZO MAALUMU YA UALIMU TARAJALI NGAZI YA STASHAHADA - SAYANSI NA HISABATI
|...
Napenda kuwakaribisha wadogo zangu wanaopenda kozi ya Udakitari(Doctor of Medicine,M.D) Kujiunga na chuo cha Kilimanjaro Christian Medical University College(KCMUCo),tawi la chuo kikuu cha...
Habar?
Mwaka jana nilipeleka maombi TIA nilikuw nataka kusoma Account katika ngaz ya cheti ila sikufanikiwa kupata nafasi.
Alafu mbaya zaidi niliapply TIA tu kwa sababu muda ulikuwa umeisha wa...
TAALUMA YA UDOM HAINA UKOMBOZI
Wadau wa JF,
Napenda naomba kutoa mawazo haya wazo ingawa najua wazi kuwa yatawauma walio wengi hususani kwa wale wenye watoto katika chuo hicho au wengine...
Sekta ya elimi nchini Afrika Kusini imeanguka mno! Inaelezwa kwamba nchi hiyo ni moja ya nchi za Afrika zenye mfumo mbovu mno wa elimu hivi sasa, na kwamba watoto wanaomaliza elimu zao wanakosa...
waisilamu pelekeni watoto wenu shule wapate elimu bora, acheni kuwalalamikia ndugu zenu wakristo na kudai kuwa wanapendelewa! hamna upendeleo katika elimu jamani!!! hii ni jitihada za kuaandaa...