Wana jf, mimi nimehitimu degree ya project planning, management & comunity development mwaka 2011 lakn mpaka leo sijafanikiwa kupata ajira ama serikalini au kwenye mashirika binafsi zaidi...
Wakuu hali ni mbaya sana kitaa, siku zinasonga kila mtu anasema lake,tetesi zimekuwa nyingi. maisha nimeyaendesha kwa kubet(Mikeka) lakini siku za karibuni naona nyota haipo upande wangu. Mwenye...
Wadau Mnaosoma sheria au mliowahi kusoma sheria nimekumbana na swali ambalo nahitaji msaada wenu "when offer is made by e-mail when is it considered to be a valid OFFER "Kwa maana nyingine ni...
Shule ya Msingi Juma kisiwani iko kijiji cha Juma, Kata ya Katunguru, Wilaya ya Sengerema, Mkoa wa Mwanza ilianzishwa 1974. Shule hiyo licha ya kuwa na uhaba wa walimu pia haijawahi kuwa na...
Masada naomba munielimishe faida anayopata mtu analiyesoma mpaka kinda to cha Sita na na kuingia Chuo Baada ya kufaulu na Faida au hasara gani atayopata mtu anayekufaulu kuingia a-level lakini...
J.Makamba...kilimo chakula na ushirika
Migiro...Afrika mashariki
Sitta...ulinzi
Mwakyembe...Tamisemi
Filikunjombe...uchukuzi
Kigoda....Fedha na uchumi
Prof. Kabudi Elimu na ufundi
Prof...
ATLANTA (Reuters) A suburban Atlanta high school student has been suspended for a year for hugging a teacher, a television station reported
The suspension could derail Sam McNairs chances of...
Kwa wale ambao mna elewa nisaidieni.Nina vutiwa na ile kazi ya viwandani kama ya Alcohol &beverage production.Kwa sasa ndio malengo yangu na nina chukua michepuo ya science,nauliza hivi endapo...
Nimesikitishwa na kitendo cha shule moja ya Sekondari ya serikali,kutaka wanafunzi warejee makwao,kwa kuwa shule haina CHAKULA na Mzabuni (Supplier) anaidai shule millioni 400.Wanafunzi ndio...
Watendaji wizara ya Elimu wanaugomvi gani na walimu/wakufunzi waliopo chini ya katibu mkuu?
Mkufunzi anakaa miaka 6 hajapandishwa cheo/daraja na hapewi sababu yoyote zaidi ya kuwa...
Nilikua stationery hapa chuo kikuu fulani,alikuja Mwl wa kike alivyokua amevaa ile suruali ya kulalia nilihisi kuuomba upofu,hivi wanafunzi watakusikiliza kweli na wafaulu,inasikitisha sana kwa...
Habari ndugu,
Naomba msaada kwa wale waliosoma nje ya bongo hasa kwa level ya digrii na kuendelea pia hata wale waliosomea hapa nchini.
Serikali na baadhi ya organisations zimekuwa zikitoa...
samahani wakuu mwenyekujua kinachoendelea anijuze au ndiyo Big result now ,shule ndiyo hizo zinfunguliwa matokeo ya kidato cha pili hayajatoka ,mtihani ulifanyika mwezi tisa mwaka jana ,hii ni...
HABARI WANAJF
MM NIKIJANA AMBAYE NIMEHITIMU B.A IN HISTORY UDSM MWAKA JANA .SASA NILICHELEWA KUBADILI KOZI ILI NISOMEE UALIMU.SASA NIMEPELEKA BARUA YA MAOMBI WIZARA YA ELIMU WANIPE POST MWAKA HUU...
Hakika ninayoyaeleza hapa yananitoka moyoni tena ndani ya moyo unaoumia namadudu yanayoendelea kutokea katika wizara nyet/mama ya elimu,
Katika taifa lolote ambalo linahitaji maendeleo yakweli...
Mara nyingi nimekuwa nikisikia katika vyombo vya habari kuwa watu wamepigwa na radi wakiwa shambani au wako baharini wakivua, sijawahi kusikia radi imepiga mjini, Kuna sababu yoyote inayofanya...