Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Habari zenu wana JF Nina mdogo wangu amemaliza la saba mwaka jana.. Tunamshukuru Mungu amefaulu vizuri sana na amebahatika kuchaguliwa kuendelea na kidato cha kwanza.. Utata unakuja baada ya...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
kwa yeyote ambae amewahi kuandika au kuipata project charter ya project yeyote naomba anitumie kwenye e-mail yng daiabdalla@yahoo.com
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Nataka kusoma postgraduate diploma of education ya open university je ajira zake ziko open km za degree yani moja kwa moja. Je out wako vizuri katika utoaji wa elimu na ni muda gani inachukua. Na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Msaada wana JF tuwapeleke wapi wanetu waliomaliza form four 2013!! Maana ramani yao itasomeka baada ya matokeo ( sijui lin) na watasubiri hadi wapangiwe high schools au vyuo( mwezi gani sijui)...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa anayejua, Hivi msanii Bahati bukuku ana watoto wangapi?
0 Reactions
5 Replies
9K Views
Msaada jamen kwa aliyesoma hiyo coz ya MA KISWAHILI ada yake ni sh ngap ?Naomben ada ya vyuo mbalimbali,pia hv desertation yake inaandikwa kwa kiswahili au kiingereza,mwenye kufaham anifahamishe...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wadau naomba kuuliza kuna mdogo wangu kamaliza darasa la saba alipata wasitani wa alama D lakini hakuchaguliwa kujiunga na kidato kwanza wakati nafasi zipo za kutosha? au kuna second selection
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Naombeni msaada kuhusu historia ya Japan baada ya vita vya kwanza vya dunia.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
sawa umeme ni tatizo sana na linakera sana haswa kipindi hiki cha mitihani..lakini kitendo mlicho kifanya jana sio cha busara..yana kupiga kelele kwenye mablock wakati wenzenu wanasoma..mnaleta...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Katika pitapita yangu kwenye website hii www.41cu.org/tz/ nikakutana na orodha ya vyuo vikuu bora Tanzania, nimeona sio vibaya tukishirikishana kwenye jambo hilo.1.University of...
3 Reactions
88 Replies
34K Views
mtu amesoma degree ya IT,then akafanikiwa kusoma na post graduate diploma ya business administration PGDBA,sasa anataka kusoma masters lakini kwenye field ya education,lengo lake ni kuja kuwa...
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Leo wanafunzi wa chuo kishiriki cha mt augustino tawi la moshi (mwenge) wanaanza mitihani yao ya mwisho wa semister, nawatakia kila la kheri.
0 Reactions
1 Replies
902 Views
katika tafti yangu ndogo nimegundua lugha ya kigeni katika elimu yetu ni mwiba katika maendeleo ya elimu yetu, kwani ili mwanafunzi aelewe kinachofundishwa mwalimu hana budi kunyanganya kiswahili...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wakati wanafunzi wa udsm wakiendelea na mitihani yao,jana usiku wamezua mpya baada ya umeme kukatika.baadhi ya wanafunzi waliamua kubeba desa zao na kwenda kwenye taa za barabani kupiga shule ili...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Waheshmiwa,walimu wa dip na dgr kwa nn wanafundisha level sawa mashulen?yup bora kat ya hawa.!
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Inasikitisha sana kwa Chuo Kikuu cha Ualimu kukosa hata syllabus 1,neither of O-Level nor of Advanced level ,ni ajabu sana.Wanachuo wanapata wakati mgumu sana kuzipata syllabus ,Tafadhali...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ninaombwa kujuzwa kwa mtu yeyote mwenye taarifa kuhusu scholarship na sponsors wa phd.Ninaomba kujuzwa mitandao yao.
0 Reactions
1 Replies
755 Views
Ndugu wana jamvi kuna taarifa zilizonifikia kutoka vyazo mbali mbali vya habari kutoka chuo kikuu cha Dodoma(UDOM) Kitivo cha lugha na sayansi za jamii kuwa kuna mgogoro unaofukuta ndani ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Natanguliza salamu kwanza wakuu! kwa wanao jua chuo cha st aggrey hapo mbeya naomba mnisaidie kama kimesajiliwa NACTE.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
naombeni msaada kuna mtoto wa ndugu yangu kapangiwa mgugu sasa hatujui ipo wapi katika mkoa wa morogoro mwenye ufahamu atujuze
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…