habari zenu wadau! ebu nisaidieni kuna mtu anatumia vyeti visivyo vyake na ana majigambo saana. so taarifa zake nipeleke wapi kwa hatua zaidi za kisheria?
Wasaalam wakuu..heshima....baada ya kudunda kidato cha nne miaka kadhaa iliyopita, nikaona nikaona niingie mtaani kufukuzana na shilingi...lakini miaka yote hiyo pesa nayo imeota miguu na...
Wanahitajika vijana 30 watakaokuwa tayari kufanya kazi ndani na nje ya Dar. Sifa za mwombaji awe na div 5 na kuendelea, wenye vyeti vya Bongo Movie na Bongo Flavor watapewa kipaumbele. Tuma maombi...
Oy wadau aje.....
kama kawaida yangu kuweka historia ya kuzindua kitu kipyaa kila ninakobahatika kusoma ili one day libaki kuwa boongeee la historia kwa madogo.... ndo kwanza nipo mwanzo wa...
Ndugu Wanajamii Wasomi Na Wale Wenzangu Na Mie Wa Kukimbia Umande Nawasalimuni Nyoooote. Leo Napenda Kuwashirikisha Langu Toka Moyoni. Kipindi Kirefu Nimekuwa Najiuliza Hv Elimu Ya Bongo Ina...
Idara ya elimu sekondari Bagamoyo ina kila uozo wa rushwa katika maeneo mbalimbali. Rushwa hizo zimejidhihirisha katika maeneo yafuatayo: 1.Kupangiwa kituo cha kazi: Ili mwalimu apangiwe...
Habari zenu ndugu wadau?.Mimi ni mwalimu wa idara ya sekondari wilaya ya Ukerewe mkoani Mwanza,nahitaji kubadilishana na mwalimu aliye katika mikoa ya Pwani,Tanga,Arusha na Morogoro.kwa...
Mtoto aliyekuwa karibu na marehemu aliulizwa 'ni nani kwako aliyefariki ?' akajibu 'kaka mkubwa wa mjomba wake na marehemu ni mjomba wangu' swali 'je marehemu ni nani kwa mtoto?'.
naombeni msaada wana jf, cheti cha mdogo wangu kimepotea na ameishatoa taarifa polisi, nini kinafuata baada ya hapo ili baraza la mitihani waweze kumsaidia. naombeni msaada wenu tafadhali.
Kwa wale waliokuja mzumbe kwa masters au hata barchelor na bado hujapata hostel kuna chumba kinapatikana kwenye hostel ya karibu kabisa na chuo.opposite na gate kubwa malipo yake ni nafuu...
Watu wengi hukosa kuzifaidi raha kwa kufuata mkumbo wa baadhi ya watu na kujikuta wanaishia katika mikosi na mazingira magumu ya kusomea,kama wewe ni miongoni mwa hao nakukaribisha Mkwawa...
habari zenu wanajamii?Naomba mnisaidie ktk hili,je naweza kuandika kwenye CV yangu ujuzi/elimu ambayo ninayo ila sina cheti kwa sababu ya kututolewa ktk taasisi husika mfano kufundisha temporary...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.