Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!

JF Prefixes:

Wakuu,.. Naombeni kama kuna anayefahamu anijuze tafadhali,..
0 Reactions
0 Replies
758 Views
habarini wanajamvi.... kusema cha ukweli mi nimepata chance mabbo host. bt mazingira na kila kitu cha uku... vinanizingua.. so kwa yeyote aliyepata m.campus na angependa au anatamani kuhamia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wadau hivi wizara ya afya inaweza kutoa majina ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo ktk ngaz ya diploma na cheti,wiki ijayo?au bado sana?mwenye tetesi kuhusu hili naomba atujulishe please!
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Niliomba muhimbili diploma sikuchaguliwa,niliomba wizara hawajanichagua,nimejaribu kutuma maombi ya pili muhimbili private sponsership form 4 physics C,Biology C,chemistry C na form 6 physics...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
jaman nauliza hiv mwisho wa usajili st.joseph ni lin maana masharti ya kwamba lazma uwe na laki tano majanga.naombeni msaada mliosajiliwa.
0 Reactions
0 Replies
968 Views
Mwenye kujua hali ya hewa ya kahama ilivyo anifahamishe tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Habari ! Hii fani kwa hapa Tanzania nafikiri vyuo vinavyotoa ni ATC kwa ngazi ya Diploma na NIT kwa ngazi ya degree/ Naomba ufafanuzi wake kuhusu soko lake la ajira kwa hapa kwetu Tanzania.. na...
1 Reactions
0 Replies
4K Views
Kumeibuka posts nyingi za kuichafua udsm kwa fujo sana.ikumbukwe kua hata hao wataalamu wavingine ni mazalia ya udsm.Ubora wa wataalam upo vilevile.kinachoweza kutiliwa shaka ni wadahiliwa mana...
4 Reactions
27 Replies
3K Views
wadau mlioko hapo udsm bado nasaka hela ya ada nauliza mwisho wa registration ni lini?
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwa anayekijua hik chuo mazingira yake kwa ujumla anifahamishe mdogo wangu kachaguliwa hapo
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani nijuavyo mimi ni kwamba Shahada (Digrii) zinatunukuwa na Vyuo Vikuu pamoja na Vyuo Vishiriki vilivyo chini ya Vyuo Vikuu husika lakini nimekuwa nikijiuliza ni kwa nini 'Taasisi ya Usimamizi...
0 Reactions
69 Replies
18K Views
Wakuu nimeikuta hii katika moja ya mtandao wa kijamii " MAAJABU MENGINE YA NAIBU WAZIRI WA ELIMU,MH MULUGO Akiwa katika ziara ya kutembelea chuo cha ualimu Tukuyu. Wakufunzi walimuuliza...
0 Reactions
46 Replies
5K Views
SAUT ni ya kwanza kufungua lakini ya mwisho kuwapa wanafunzi wa mwaka wa kwanza pesa zao za BOOM.Lini hasa tutapewa?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu??? Nina shahada ya kwanza ya Business Administration, sasa nataka ni i-upgrade to MBA economics and finance, nahitaji chuo maeneo hasa ya moshi na kidogo arusha, kwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwenge ni chuo kikuu kilichopo mjini Moshi,tarehe 02 nov.2015 ni siku ya mahafali ya 5 ya chuo hiki,miongoni mwa wahitimu ni mimi,hivyo kwa niaba ya makamanda wote wanao hitimu napenda kuwaalika...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Hey all great thinkers! Wana jf kutokana na wizara ya Afya kuzichelewesha post za selection naombeni mnishauri tu niende private au nisubiri kwa kuwa hawa jamaa cjui...
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Jina augustino yangisoni mbuba
0 Reactions
2 Replies
921 Views
natanguliza shukrani naombeni mnisaidie kuangalia jina langu katika wizara ya afya natanguliza shukrani.
0 Reactions
3 Replies
948 Views
Back
Top Bottom