simu yangu ni 0783564059. Nasoma BAED,nimetokea BUKOBA,nina adabu na ninamheshimu kila m2.Nimejifunza combat karate,KARATE shotokan na GUJULU.Haya yote yanafanya niwe mpole na ukiniona utaamini na...
Nilipata tetesi kuwa leo hii kungekuwa na open conference juu ya sakata la HESLB na wale tuliionyimwa mkopo elimu ya juu. Kuna yeyote mwenye taarifa kamili??
Matiku, Mkisyeli tunaomba mtujuze...
Upandishwaji wa ada kiholela bila kuangalia miundo mbinu ya shule zao ni kuingiza siasa ktk elimu.Naona viongozi wa jumuiya ya wazazi ni kuangalia fedha ziingiazo siyo taaluma.Ninyi viongozi kama...
Nilizani kuwa tayari mmepata taarifa kuhusu open conferance kumbe bado,, Lakini mda wote Viongozi wetu huwa wanatafuta mbinu how to defend themselves but n't how to solve the problem hii imekuwa...
Waandishi wa habari ni watu muhimu ktk maendeleo na ustawi wa jamii/nchi yoyote duniani.Hivyo ni muhimu sana kuwa na vyombo vya habari makini vyenye waandishi/watangazaji makini.Hakuna ubishi ktk...
Kaka na dada zangu wa jukwaa hili, nianze kwa kuwasalimu: za wakati huu?
:A S-key: Ninaomba msaada wa link ambayo ninaweza nikavishusha/download vitabu vya fasihi ya Afrika. Nimetafuta sana...
Katika hali ya kushangaza kuna mwanafunzi ambaye jina naliifadhi ambaye alifanikiwa kupata degree yake Tumaini University kwa mwaka mmoja amepata admission ya Masters a Degree Mzumbe university...
Wadau,
Nataka tujikumbushe jambo hili kwa sababu wengi tuliopita shule za msingi na hata sekondari kila shule ilikuwa na majina bandia kwa walimu wa somo la hesabu/hisabati.Kwa mfano pale s/m...
Habari wadogo zangu kwnza polen kwa msiba, hivi mmeishia wapi katika harakat zenu za kudai haki zenu ikizngatia luna ambao walikuwa na vigezo vyote vya kupata,kuna mbinu moja hiv nataka niwape...
Mtihani wa kidato cha pili unaendelea kitaifa,Walimu wanaosimamia mtihani huo wakiwa hawajalipwa chochote mpaka sasa na leo ni mwisho kwa shule zenye Masomo 9.
Kwa kweli inatia huruma mwalimu...
Back in days wakati naanza first year pale centre for excellency nilipangiwa room na ma blaza waliokua 2nd year. Kwa kweli hakuna tabu mwanzoni niliyopata kama kupigwa exile daily utafikiri mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.